Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Kijana ameshaanza kukosa ubunifu nyimbo yake mpya ni sample ya beat ya bwana misosi mabinti wa kitanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hairuhusiwi kwa sheria za wenzetu unakumbuka kesi ya phallell willium alitoa nyimbo yake ya happy ilifanya vizuri sana lakini baadae ilikuja kugundulika alikopi vionjo vya nyimbo ya msanii mwingine mwaka 1970 walimshtaki ikabidi atoe asilimia fulani ya mapato aliyotengenza kupitia nyimbo hiyoUnajua lolote kuhusu chord progession
Mfano thinking out loud ya Ed sheeran na Lets get in ya Marvin Gaye ni kama zinafanana lakini sio copy kimziki inaruhusiwa mkuu
Unajua lolote kuhusu chord progession
Mfano thinking out loud ya Ed sheeran na Lets get in ya Marvin Gaye ni kama zinafanana lakini sio copy kimziki inaruhusiwa mkuu
Katika kufuatilia hiy kesi ndo nkapata hiyo conceptUnajua kama huo wimbo wa Ed Sheeran ulisababisha afunguliwe kesi?
Katika kufuatilia hiy kesi ndo nkapata hiyo concept
Bado maamuzi ya mahakama kuu japo jamaa anaelekea kuishinda hiyo kesi ukizingatia owner hana shida wenye matatizo ni kampuni flani ilonunua asilimia kadhaa za copyrightSikumbuki mwisho ilivyokuwa, nani alishinda?
Bado maamuzi ya mahakama kuu japo jamaa anaelekea kuishinda hiyo kesi ukizingatia owner hana shida wenye matatizo ni kampuni flani ilonunua asilimia kadhaa za copyright
Jamaa katoa kolabo na justin b inaitwa i dont care nayo inashutumiwa kakopi kwa mdada flani haswa kwenye Chorus so jamaa ameanza kuzingua sanaOkay, last time kuifatilia ilikuwa December, nilijua imeshaisha.
Hata wakina Chris Brown ,Kendrick Lamar et al ambao ni wasanii wakubwa wanaiga ma beat, sembuse kijana wetu Kondeboy.Kijana ameshaanza kukosa ubunifu nyimbo yake mpya ni sample ya beat ya bwana misosi mabinti wa kitanga
Jamaa katoa kolabo na justin b inaitwa i dont care nayo inashutumiwa kakopi kwa mdada flani haswa kwenye Chorus so jamaa ameanza kuzingua sana
Tatizo la kukurupuka bila kuuliza.Alihojiwa wasafi fm kipindi block 89 na akasema Bwana misosi kaibariki kazi yake.
Punguza mtima nyongo mtoa post.
[/QUOT
umefanya vizuri kunijulisha sio kila mtu anafuatilia kila kinachoendelea japo umetumia lugha kali sana kama unauhakika na unachoongea
Hii rumor nimeiskia namimiJamaa katoa kolabo na justin b inaitwa i dont care nayo inashutumiwa kakopi kwa mdada flani haswa kwenye Chorus so jamaa ameanza kuzingua sana
Maneno matupu hayasaidii, ngoja tuwawekee hizo nyimbo 2 then watafanya conclusion wao.
Kijana ameshaanza kukosa ubunifu nyimbo yake mpya ni sample ya beat ya bwana misosi mabinti wa kitanga