Harmonize kuja na Carnival akishirikiana na TVE

B Dozen anaanza sasa kunyooka na clouds...
Wacha tushuhudie mtanange.
 
Ninavyojua mimi wamakonde si watu.


Kama utatokea upepo wa kitu flani kati kati anaachana na focus yake anafata upande mwingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Piga kelele kwa konde ake, weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh
 
katangaza tu show ya mwezi wa 11 bado miezi 3 ila watu mnabonga shit kila jambo na changamoto yake illa watanzania tunalalamika sana
 
are you sure hana experience kwa hii game??
 
Vipi ule Ubunge wa Tandahimba aliupuuza!
 
Umesahau bado alisema atatoa album nyingine mwaka huu
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Sioni mbaya akicopy Hilo wazo kwa Bhaghdad Cha msingi akifanye kwa ubora kuliko aliyemcopy isije tu baadae Hilo wazo kiliishia njiani Kama project zake nyingi zilivyoishia njiani
Sasa baghdad nae ana content gani ya kujaza siku tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…