Mpikie mumeo chai. Kushapambazuka
kwani hpo kaandika konde..?Harmonize anatakiwa kujifunza kuandika, kuandika kwa herufi kubwa andiko zima inachosha kusoma.
Huu wimbo wa she doo she doo she do wa au kuna mwinginIla wimbo wake mpya ni moto aisee, tho sipendi anavyokaaga kifua wazi
Sawaaah[emoji3][emoji3]sawa mjukuu
😃😃😃 Mbna mnadharau sana kimombo cha konde boy wakuu ?Huu wimbo wa she doo she doo she do wa au kuna mwingin
Endelea kukaza fuvuIla wimbo wake mpya ni moto aisee, tho sipendi anavyokaaga kifua wazi
Ibraah anasikika au utopolo tuNaona kama nae anatembea kwenye njia ya yule wa kariakoo. Hafanyi jambo likakamilika. Ktk aliowasajili ni Ibra tu ndio anasikika.
[emoji2][emoji2][emoji2] Mbna mnadharau sana kimombo cha konde boy wakuu ?
Konde kwa sasa kitakachoibua morali na kuchangamsha brand yake ni tour za nje tu.1.Konde Mgahawa.
2.Kuzindua album kwa mara ya pili Uhuru 27 may 2020.
3.Kuzindua album hiyo hiyo kwa siku 3 mfululizo Uhuru Stadium kuanzia 7 Nov 2020 chini ya usimamizi wa Efm.
4.Konde in da club tour.
5.Akatangaza show Kahama dec ktk Uwanja uleule waliopiga show Wasafi dec.
Wants to outsmart his previous boss...but failed big time
una mname kua ni mmakonde sababu ana sura mbovu ?Huyo Anjella atakua mmakonde
Ndio anachotaka kufanya maan upepo wa ibrah umekata na wakina masozi piah ameona hawaendanHivi huyu baba Paula usije akaanza kumshindanisha na Angella na Zuchu
INVITEES ONLY
vs
INVITED ONLY
Haya tuone kama ada za wazazi wenu zilitumika ipasavyo.
Kweli JF ni "Home Of Great Thinkers" Kumbe hadi wambea wanatema Yai Ivi [emoji91]I was shocked too, let’s say tunajua harmonize nikilaza , where was jembe when this rubbish was written?, Ina maana wote ni vilaza ama
All in all , big congrats to konde boy, kutoka wcb na kuendelea ku shine that shit is rare , we all know what wcb is capable of when Msanii akitoka kwao, I support konde boy [emoji817]
AmeeeeenI was shocked too, let’s say tunajua harmonize nikilaza , where was jembe when this rubbish was written?, Ina maana wote ni vilaza ama
All in all , big congrats to konde boy, kutoka wcb na kuendelea ku shine that shit is rare , we all know what wcb is capable of when Msanii akitoka kwao, I support konde boy [emoji817]