Saving account
Member
- Jun 28, 2016
- 21
- 22
kwa ubuyu tu uko vizuri bibie unaipenda kazi yakoMbona hii ni zilipendwa, Wolper wakati huu alikuwa amefadhiliwa na Harmonize baada ya kuwachwa na mkongo wa kwanza, alikuwa hana pa kukaa, alichukua hoteli hela ya kulipa hana. Harmonize alilipa hoteli na kumhamishia kwake. Amepata mkongo mwingine mwenye pesa, hii ni old story.
Duh kwahiyo dogo naye kashatemwa?hawa watoto watakuja kupata magonjwa kwa kujitakia!Mbona hii ni zilipendwa, Wolper wakati huu alikuwa amefadhiliwa na Harmonize baada ya kuwachwa na mkongo wa kwanza, alikuwa hana pa kukaa, alichukua hoteli hela ya kulipa hana. Harmonize alilipa hoteli na kumhamishia kwake. Amepata mkongo mwingine mwenye pesa, hii ni old story.
Kwani mkuu magonjwa yakiingia unafikiri yanapiga hodi?Duh kwahiyo dogo naye kashatemwa?hawa watoto watakuja kupata magonjwa kwa kujitakia!