Harmonize na Konde Gang wamteua mkuu wa mkoa wa Dar kama mlezi wao

Harmonize na Konde Gang wamteua mkuu wa mkoa wa Dar kama mlezi wao

Konge gang halistawi kwa sababu ya ufinyu wa upeo wa wanaloliongoza. WBC hamkumteua Makonda, Makonda alijiteua kwa maslahi yake na misifa yake katika siasa. Kunenge hata inyeshe mvua hatokuwa na influence ya kuibeba KG kama wakati fulani alivyofanya Makonda kwa wapinzani wa WCB, Mungu awaongoze wafikie lengo wanalokusudia japo nina mashaka mingi.
 
Konge gang halistawi kwa sababu ya ufinyu wa upeo wa wanaloliongoza. WBC hamkumteua Makonda, Makonda alijiteua kwa maslahi yake na misifa yake katika siasa. Kunenge hata inyeshe mvua hatokuwa na influence ya kuibeba KG kama wakati fulani alivyofanya Makonda kwa wapinzani wa WCB, Mungu awaongoze wafikie lengo wanalokusudia japo nina mashaka mingi.
Aisee
 
Dogo hawezagi kabisa kuwa na creativity ambayo imezaliwa kwnye ubongo wake
 
Huyu mmakonde anafeli sana,sijui kama ipo siku hiyo lebel yake itaweza mkuza msanii kama yeye alivyokuzwa na wcb.
Anapeleka mambo kiholela holela sana.

Dogo hajui kuji manage yeye na wala hakufikia stage ambayo ana maturity ya kutosha ya ku manage watu wengine.

Kila analofanya he wants to prove kuwa he is equal or better than Diamond and his former label WCB. Huo ni Ushamba tu! Kwani mziki huwezi ufanya mpaka utake approval ya WCB kwamba namie nimefanya hiki?
 
Dogo hajui kuji manage yeye na wala hakufikia stage ambayo ana maturity ya kutosha ya ku manage watu wengine.

Kila analofanya he wants to prove kuwa he is equal or better than Diamond and his former label WCB. Huo ni Ushamba tu! Kwani mziki huwezi ufanya mpaka utake approval ya WCB kwamba namie nimefanya hiki?
Wakati watu wengine wakijitutumua angalau kufanya chochote, ninyi ni majungu tangu January mpaka December.

Ikitokea wakafanikiwa, utasikia yule jamaa alikuwa na Joka linatema hela.

Waswahili mna mavi vichwani
 
For a brand to grow it takes a Creative and Visionary leader sio kasuku 😁!!!

Ni swala la muda tu before Jembe ni Jembe hajawithdraw udhamini wake maana this is merely a wrong investment. Harmonize kuimba hajui kmmnyk zake, his music has no soul in it!
 
Back
Top Bottom