Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,092
Na akamkosaUnajiuliza konde kumuimbia wimbo kajala tena singo tu...
Mwenzake bishoo wa manzese na tiptop alimuimbia Nancy album nzima[emoji1787]
Daaah! Nancy angemsikiliza yule msela nya... Leo angekuwa kaachika baada ya kuchuja au yupo vibarazani mabibo anagombana na wamama wenzie mambo ya marejesho ya vicoba.Unajiuliza konde kumuimbia wimbo kajala tena singo tu...
Mwenzake bishoo wa manzese na tiptop alimuimbia Nancy album nzima[emoji1787]
Nyimbo zilikuwa nzuri sana kipindi kile kwa vijana.Daaah! Nancy angemsikiliza yule msela nya... Leo angekuwa kaachika baada ya kuchuja au yupo vibarazani mabibo anagombana na wamama wenzie mambo ya marejesho ya vicoba.
Asantee Yna wa kibongoKila mtu na mtuwe babu weeh
Uwe na weekend njema[emoji1635]
Kha 😹😹😹😹😹😹Daaah! Nancy angemsikiliza yule msela nya... Leo angekuwa kaachika baada ya kuchuja au yupo vibarazani mabibo anagombana na wamama wenzie mambo ya marejesho ya vicoba.
Kwani uongo MB Dog namuonaga outmatic wasingekuwa pa1 na nancyKha 😹😹😹😹😹😹
Asantee mkuu kiswahili kigumu kakaaSiyo nyimbo ni wimbo, halafu katika album yake pia kuna single track kamuimbia Sarah
kweli mkuuAsantee mkuu kiswahili kigumu kakaa
Si unajua tuna baraza la BAKITA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mtu na mtuwe babu weeh
Uwe na weekend njema[emoji1635]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unajiuliza konde kumuimbia wimbo kajala tena singo tu...
Mwenzake bishoo wa manzese na tiptop alimuimbia Nancy album nzima[emoji1787]