Harmonize ndiye King wa Bongo Fleva kwa sasa

Harmonize ndiye King wa Bongo Fleva kwa sasa

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Kizuri chajiuza, kibaya chajitangaza, bwana mdogo amepiga kazi kubwa zinazojiuza zenyewe bila mwenyewe kutumia nguvu kuuubwa.

Ukiachana na "Single Again" inayotamba bara zima la Afrika kwa sasa, hii playlist yake hapa chini itakufanya usuuzike moyo:

1. Single Again
2. Wote
3. Leave Me Alone ft Abby Chams
4. Amelowa
5. Jeshi
6. Deka ft Mabantu

Na nyingine nyingi.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, kuwa na nyimbo zaidi ya 5 currently zinazohit zote siyo kazi ya kitoto hata kidogo.

Uzuri nyimbo zake zina maadili, unaweza kusikiliza hata na mama mkwe sebuleni kwako(kasoro "Amelowa").

 
wenye chuki na Ntwara state mtuache...yopa vanu!!!
 
Kizuri chajiuza, kibaya chajitangaza, bwana mdogo amepiga kazi kubwa zinazojiuza zenyewe bila mwenyewe kutumia nguvu kuuubwa.

Ukiachana na "Single Again" inayotamba bara zima la Afrika kwa sasa, hii playlist yake hapa chini itakufanya usuuzike moyo:

1. Single Again
2. Wote
3. Leave Me Alone ft Abby Chams
4. Amelowa
5. Jeshi
6. Deka ft Mabantu

Na nyingine nyingi.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, kuwa na nyimbo zaidi ya 5 currently zinazohit zote siyo kazi ya kitoto hata kidogo.

Uzuri nyimbo zake zina maadili, unaweza kusikiliza hata na mama mkwe sebuleni kwako(kasoro "Amelowa").

View attachment 2569770View attachment 2569771View attachment 2569772View attachment 2569773View attachment 2569774View attachment 2569776View attachment 2569778
Mmakonde kwenye ubora wako 🤣
 
Tuacheni masikhara, huyu Dogo anaimba... Na nyimbo zake Kila sehemu zinapigwa. Usipomskiliza mtaani utamskia kwenye Gari, usipomskia redioni utamskia Bar.
 
Kizuri chajiuza, kibaya chajitangaza, bwana mdogo amepiga kazi kubwa zinazojiuza zenyewe bila mwenyewe kutumia nguvu kuuubwa.

Ukiachana na "Single Again" inayotamba bara zima la Afrika kwa sasa, hii playlist yake hapa chini itakufanya usuuzike moyo:

1. Single Again
2. Wote
3. Leave Me Alone ft Abby Chams
4. Amelowa
5. Jeshi
6. Deka ft Mabantu

Na nyingine nyingi.

Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, kuwa na nyimbo zaidi ya 5 currently zinazohit zote siyo kazi ya kitoto hata kidogo.

Uzuri nyimbo zake zina maadili, unaweza kusikiliza hata na mama mkwe sebuleni kwako(kasoro "Amelowa").

View attachment 2569770View attachment 2569771View attachment 2569772View attachment 2569773View attachment 2569774View attachment 2569776View attachment 2569778
Jeupega mwanau wenyekwile chakunoa chichitutile mwanau liduva lipamba ukakulyambaa liduva lipamba ukakulyamba 😂🔥🙌
 
Harmonize anajua, hii Single Again imemtoa kimasomaso
 
Back
Top Bottom