[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dea umetoa ya moyoni.Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahAsa kama wewe huwa unampigia nyeto unalazimisha wote tumpigie nyeto?
Usilazimishe upendo kwenye chuki bhana weeeee
Wewe mpigie nyeto kivyako,mie nimeandika uhalisia uliopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muhimu...life ngumu mzee,tunajaribu kote kote
Nikishindwa uganga nakimbilia uchawiiii
Jamaa kwa kifupi ni mshamba bado, ule umakonde haujamtoka...Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Chuki BinafsiSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Watakachomfanya hata yeye mwenyewe atashangaa.Wasaalam wana Jf.
Msanii wa muziki bongo fleva almaarufu Kama harmonize ameeleza kuwa atagombea Ubunge kuonesha heshima kwa hayati JPM baada ya kumpa maagizo hayo kabla ya umauti kumfikia.
Msanii huyo ameeleza siku ya leo akihojiwa na wanahabari wa kituo Cha televisheni Cha UTV.
Harmonize amesema.....
Nimeona Ni heshima kubwa sana ambayo mheshimiwa aliyekuwa Rais wa JMT Dr JPM aliyoionesha kwangu kwa kuniambia nafaa kugombea Ubunge,na huu ulikuwa Kama Ni ushauri mzuri kwangu na ninachukulia Kama Ni mzazi wangu kwakuwa alikuwa akitupa ushauri mara kwa mara
Yaan wee dea lol [emoji23][emoji23][emoji4][emoji23]
Duuuuhh hahahhaha hahahahaSimpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!
Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
How????Ila hili bunge likimaliza muda wake ndiyo litakuwa bunge la kwanza ambalo karibu nusu ya wabunge wake hawatarudi tena bungeni baada ya uchaguzi
Utakuwa mchawi wewe!
Na biblia inatuambia "usimuache mwanamke mchawi aishi".
Acha uchawi. Utakufa kabla ya siku zako!
Na tena bunge la hovyo ambalo halijawahi kutokea,,Ila hili bunge likimaliza muda wake ndiyo litakuwa bunge la kwanza ambalo karibu nusu ya wabunge wake hawatarudi tena bungeni baada ya uchaguzi