Harmonize: Nitagombea Ubunge kutimiza maagizo ya Magufuli

Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dea umetoa ya moyoni.
 
Asa kama wewe huwa unampigia nyeto unalazimisha wote tumpigie nyeto?
Usilazimishe upendo kwenye chuki bhana weeeee

Wewe mpigie nyeto kivyako,mie nimeandika uhalisia uliopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Jamaa kwa kifupi ni mshamba bado, ule umakonde haujamtoka...
 
Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Chuki Binafsi
 
Jamaa anahangaika hajui ashike lipi aache lipi
 
Watakachomfanya hata yeye mwenyewe atashangaa.

Alitakiwa agombee wakati meko akiwa hai.
Ulee ulikuwa ni uteuzi
 
watu wooote na wasomi waliojaa huyu kenge apewe ubunge labda wale wa vitu maalum, nchi hii tumerogwa kabisa agombee tu chama cha mbogamboga watampa
 
Simpendi Harmonize jamani
Spendi muonekano wake,mziki wake,uongeaji wake,scandals zake,uchezaji wake unaboa kinyama!

Harmonize kama utapita hapa tambua kuna member hapa JF hakukubali hata kidogo
Duuuuhh hahahhaha hahahaha


Aiseeee Binadam kiboko

Yaaan unamchukia mtu ambaye hakuongezei chochote kwa life yako , na unamchukia kwelikweli???


Watu wengine mnajipa kazi za kuchosha Ubongo na Akili pasipo sababu yoyote.
 
Utakuwa mchawi wewe!

Na biblia inatuambia "usimuache mwanamke mchawi aishi".

Acha uchawi. Utakufa kabla ya siku zako!

Mstari gani huo tena jamani wa biblia?

Sema wachawi wanajuana....if you know what i mean 😁
 
Mzee aliongea kiutani kabisa hakumaanisha.....kuthibitisha hilo ajaribu kugombea then kura zitatuambia...na hivi mzee hayuko...asahau kabisa..kina Tale walipita kwa hisani ya the late Mzee na kwa sasa hayupo...bora arudiane na Sara aendelee kuhongwa.
 
Alishindwa kutembea na fursa hiyo 2020 saiv asahau kabisa na vimashavu vyake km paka wa ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…