Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Umemaliza kila kitu! mada iishie hapa!Mpelekee zawadi ya mashati labda atavaa, tena yale ya uji uji yatampendeza kweli. 🤣 🤣
Harmonize anakoenda anakujua mwenyewe eti nimemsikia anaongelea kumsajili mavoko kwenye hicho kijilebel chake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] babe mwambieni mtu wenu avae nguo khaaaHaters mjifukize pia msisahau kunywa maji kwa wingi kushusha hiyo sumu ya hasira kooni.
Lol.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Hahahaha anaonesha six packs mbona kaka zake nao wanaacha matumbo wazi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] babe mwambieni mtu wenu avae nguo khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajitahidi ila nadhani ni wakati wake sasa kuvaa nguo si nyimbo nzima kitumbo wazi
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Sawa ila ndio kila wimbo?Hahahaha anaonesha six packs mbona kaka zake nao wanaacha matumbo wazi?
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Unafikiri hizo pingili zinakuja zenyewe kwa kuandika shombo JF huku amejificha nyuma ya ID fake? Kazitolea jasho, acha aonyeshe matokeo ya jasho lake.Yaani siku hizi ukiangalia nyimbo nyingi za harmonize hakuna kipyya utakachokiona zaida ya mtu anaimba huku amezungukwa na wanawake halafu yupo kifua wazi hakuna ubunifu wa mavazi,style inaonekana jamaa chini ya label yake anaamua kila kitu yeye mwenyewe
Ila nadhani na shule pia Ni sababu,na ile kujitambua tuuh nafikiriNdio wasanii wetu hao boss.
Six packs mzeee kama una kitambi lazima uumie,Anajitahidi ila nadhani ni wakati wake sasa kuvaa nguo si nyimbo nzima kitumbo wazi
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Joto, anapunga upepo,
Watoto wazuri huja tuuh automatically ukiwa smart kimaisha kazi itakua kuchagua tuuhSix packs mzeee kama una kitambi lazima uumie,
Hujachelewa zama Gym watoto wazuri wanataka kuona mistari mistari kwa tumbo,
Lol.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.