Harmonize siku hizi havai mashati kwenye video zake

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Yaani siku hizi ukiangalia nyimbo nyingi za harmonize hakuna kipya utakachokiona zaida ya mtu anaimba huku amezungukwa na wanawake.

Halafu yupo kifua wazi hakuna ubunifu wa mavazi, style inaonekana jamaa chini ya label yake anaamua kila kitu yeye mwenyewe.
 
Nakifahamu kile kibao chake alichomwimbia mweshimiwa nakumbuka alikua kavaa nguo, nadhani labda izo nyingine kwani sijapata wasaa kuzitizama kwenye luninga.

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Unafikiri hizo pingili zinakuja zenyewe kwa kuandika shombo JF huku amejificha nyuma ya ID fake? Kazitolea jasho, acha aonyeshe matokeo ya jasho lake.
 
Anajitahidi ila nadhani ni wakati wake sasa kuvaa nguo si nyimbo nzima kitumbo wazi

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Six packs mzeee kama una kitambi lazima uumie,
Hujachelewa zama Gym watoto wazuri wanataka kuona mistari mistari kwa tumbo,

Lol.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Acha walala hoi wasajiliane mwisho wao waja mond babalao
 
Six packs mzeee kama una kitambi lazima uumie,
Hujachelewa zama Gym watoto wazuri wanataka kuona mistari mistari kwa tumbo,

Lol.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Watoto wazuri huja tuuh automatically ukiwa smart kimaisha kazi itakua kuchagua tuuh

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…