🤣🤣🤣🤣🤣Yaani mtu anaset kamera, halafu anarudi nyuma, moja mbili tatu, anaanza kulia 🤣🤣🤣. Hii ya kulia na microphone amekopi kwa Bashite.
😃😃😃😃😃😃😃Huyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
😁😁😁😁😁 Bongo nyosoHuyo siku ya kuaga mwili wa Rais kabla kuzimia atampa bodygurd wake simu na cheni zake amshikie halafu anazimia.
Mbona nyimbo kashatunga na imeachiwa leo mida ya sa4 asubuhAngetunga wimbo mzuri wenye vina na mistari iliyonyooka Kwani hawakuna Komba alivyomtungia Nyerere?? Sasa Kujiliza kwenye social Media sio sawa hasa kwa wanaume.Unatia Aibu ila kwa wanaume wa Dar hiyo ni kiki.
Ni Mambo mawili tu binadamu hawezi kuyafichaHuyu kijana sasa hiv naona ameanza kuvuka mipaka ya Kiki sio mbaya kufanya Kiki lakini fanya Kiki za maana kwa namna moja au nyingine zitakazoweza kusaidia kupush kazi zako lakini hii ya kujirecord unalimlilia marehemu Magufuli alafu unapost kwenye account yako ya social media unawakosea heshima watanzania unaleta mambo ya bongo movie kwenye msiba mzito wa Taifa.Mtu gani mwenye uchungu anapata wasaa wakujirecodi na kutuma kwenye social media ebu badilika kijana.