Harmonize unamuimbia nani Kiingereza?

Kizungu kipi unachoongelea kifaransa,kidachi,kireno au


Ukisikia watu wanasema kizungu wanamaanisha kiingereza, kwasababu hata hao wadachi na Wareno wakiingia Tanzania hiyo ndio lugha wanaotumia kuwasiliana na watu.
 
analenga international audience
 
Ila mimi siamini kama kiingereza ndy utashine kimataifani
Cc cabo snoop
 
Dadangu mbona nyimbo za kingereza tunazisikiliza hapa nchini tangu enzi za mwalimu?
Umekwama mahali mrimbwende,, club nyingi zinapiga nyimbo za kingereza na tunazipenda sana. Au kingereza cha lafudhi ya kimakua kinakupa shida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…