Harmonize utafanikiwa ila chini ya unachostahili

ungekuwa mchezaji mpira alfu anatokea mtu anakwambia unacheza kama Messi cjui ungejisikiajee,,,!' bas jins ungejisikia ndo ivyo anavyojisikia Harmonize kufananishwa na Diamond kila mtu anataman kuwa kama yule anampenda
 
ungekuwa mchezaji mpira alfu anatokea mtu anakwambia unacheza kama Messi cjui ungejisikiajee,,,!' bas jins ungejisikia ndo ivyo anavyojisikia Harmonize kufananishwa na Diamond kila mtu anataman kuwa kama yule anampenda
wanao gandamizia hua wanakua na upepo wa muda tu,baada ya mda tupakule[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…