Naomba kuuliza je kwenye hayo mazungumzo kamtaja wema? Na kama ndio kasemaje?Mtoa mada umezngua hyo intaview hakutaja kama ameachan na meneja wake
Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
hujaangalia vdeo?Naomba kuuliza je kwenye hayo mazungumzo kamtaja wema? Na kama ndio kasemaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan kilichoniboa ni Aina ya mtangazaj àliye kuwa na muulize maswali.
Yaan maswali hovyo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshapotea.Sasa hivi hasikiki sana!
Hahahaha anauliza maswali kama anajilazimisha mpaka nikahisi atakuwa mjauzito [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yaan kilichoniboa ni Aina ya mtangazaj àliye kuwa na muulize maswali.
Yaan maswali hovyo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaa tena haiko renewableKiki ime xpire [emoji23][emoji23][emoji23]