Harmorapa , Harmonize hajui kuimba anabebwa na media


daah,huyu jamaa kwa swags zake hizi level yake si ya nchi hiii🙂🙂🙂
 
Watu wa Harmorapa wa Marketing mpo vizuri sana
 
khaaaaa huyu mtu anapenda showoff, hivi ameshatoa hata wimbo mmoja kweli
 
Harmo rapa anatakiwa achunguzwe akili... Kuwashindanisha ni kupoteza muda tuuh
 
Hilo ni boya wacha lielee kabla halijapelekwa ukingoni, asihangaike na wasafi ahangaike na muziki wake kwanza maana kuna wasanii walikua wanajua ila hadi leo kishwa habari yao kama sagna, top c, na beka hizo kiki zina mwisho
 
Hivi kwa nini watu hamumpendi Harmorapa?

Mi mbona naona yuko poa sana.

Nazipenda sana swagga zake yaani.

He is really growing on me.
Hatumpendi sababu ana showoff za ajabu ajabu, anatumia nguvu nyingi sana kuutafuta ustaa [emoji57] [emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…