Social maniac
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 357
- 428
I like him just because of that [emoji3]Hatumpendi sababu ana showoff za ajabu ajabu, anatumia nguvu nyingi sana kuutafuta ustaa [emoji57] [emoji57]
Kazi huzioni wee wa wapi ,Muulize Mode Iyobo atakupa habari za HarmorapaHuyu nimemchoka, anatujazia server tu na habari zake za kipumbavu, kanapenda kiki kazi zenyewe hatuzioni, ww mazoezi gani unafanya huku umevaa jeans na mlegezo upuuzi mtupu.
Kazi huzioni wee wa wapi ,Muulize Mode Iyobo atakupa habari za HarmorapaHuyu nimemchoka, anatujazia server tu na habari zake za kipumbavu, kanapenda kiki kazi zenyewe hatuzioni, ww mazoezi gani unafanya huku umevaa jeans na mlegezo upuuzi mtupu.
Wewe na nani hamumpendi?Hatumpendi sababu ana showoff za ajabu ajabu, anatumia nguvu nyingi sana kuutafuta ustaa [emoji57] [emoji57]
Me tooI like him just because of that [emoji3]
Aya baba, kipenda roho hula nyama mbichiI like him just because of that [emoji3]
Kumbe we ndo manager wakeWewe na nani hamumpendi?
Juzi tu umenifata inbox unaniomba namba ya simu ya Harmorapa.
Me naishi na manager wakeKumbe we ndo manager wake
[emoji23][emoji23][emoji23]Jaman ni nani huyu kwani
Kiukweli harmonize hamfikii huyu dogo hata kidogo, dogo akiendelea hivi ndo atatuwakilisha kimataifa kama diamond miaka ijayoBwana mdogo anayekuja juu kwenye anga ya muziki anayetamba na ngoma yake ya usigawe pasi ambay
e pia anafananishwa kimuonekano na sura kwa mbali na mwanamuziki kutoka WCB ,Harmonize ,amedai kuwa yeye ni mwanamuziki mzuri kuliko Harmonize sema tu alichelewa kutoka pia amedai kuwa hata wakiandaliwa live performance yeye na Harmonize basi atamkimbiza vibaya kama Harmonize haamini hivyo waandaliwe show aone kama anachosema ni kweli au lah
Harmorapa akaendelea kusema kuwa kinachomfanya Harmonize aonekane yupo vizuri ni media zinazo mbeba na WCB nzima yeye peke yake hajui kuimba.
Harmorapa pia alidai kuwa yeye ni team kiba damu na atafanya juu chini amshirikishe kiba kwenye ngoma zake zinazokuja .
Harmorapa pia ameendelea kung'ang'ania jina hilo na kudai kuwa halibadilishi kamwe kwa kuwa atapoteza mashabiki wake atachokifanya labda kuongeza AKA tu basi .
Harmorapa amesema kwa sasa anafanya mazoezi kwa ajili ya kuweka mwili wake uwe wa kuvutia zaidi(sexy body)uwe wa ki super star zaidi kwa kuwa yeye kwa sasa si underground tena bali ni super star hivyo basi lazima ajiweke kisupee star ili aendane na jina lake na ndio maana hata zile studio alizokuwa anaenda zamani kwa ajili ya kurecord ngoma zake haendi tena kwa kuwa si hadhi yake amewaachia underground yeye anaenda studio zenye hadhi yake
View attachment 477337
Huyu bwana mdogo naona amesahau ule usemi unaosema fanya ufanyavyo lakini sikio alizidi kichwa .
Pozi kwa poziHuyu nimemchoka, anatujazia server tu na habari zake za kipumbavu, kanapenda kiki kazi zenyewe hatuzioni, ww mazoezi gani unafanya huku umevaa jeans na mlegezo upuuzi mtupu.