Felix King Zaman
Senior Member
- Aug 6, 2016
- 125
- 117
Huuu mwaka wake aisee hahaahHeee sio kwa kiki hiii
Anaongoza kwa kuwavua watoto WA kali chupi town..Mtoto wa kishua..Aliachia shule O level na hadi Sasa yupo na Ngoma mojahv huyo kijana anashughulika na nini hasa....mi naskia malapa malapa....ndo nani huyo..........
[emoji3] [emoji3] [emoji3] hiii kiki yingineAnaongoza kwa kuwavua watoto WA kali chupi town..Mtoto wa kishua..Aliachia shule O level na hadi Sasa yupo na Ngoma moja
Hahahahah Baada ya hapa ndo kaja NrbMalapa malapa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Jamii forum imekuwa ya harmo rapa, Wacha habarikiwe mana wana mdharau sana
Humu jf. Full vichekeshohv huyo kijana anashughulika na nini hasa....mi naskia malapa malapa....ndo nani huyo..........
Hii picha ni ya barabara inayopita kando ya Arusha Airport kama kuelekea kisongo, inahusika vipi na hii habari ya mwana Darisalama?Habari zinazonifikia kitaa kutoka town zinasema kuwa Harmorappa underground ambaye amehit kwa kasi amepata shavu . Leo asbuhi alionekana Nairobi na inasemekana yupo kule kufatlia dili ya kuwa ambassador wa Safaricom nchini Tanzania. Mbali na haya yupo na mpango WA kukutana na Sauti Sol kwa ajili ya collabo.
Brother umeuaaa kbsaAnaongoza kwa kuwavua watoto WA kali chupi town..Mtoto wa kishua..Aliachia shule O level na hadi Sasa yupo na Ngoma moja
Alipita hapo akielekea Nairobi hahahaahHii picha ni ya barabara inayopita kando ya Arusha Airport kama kuelekea kisongo, inahusika vipi na hii habari ya mwana Darisalama?