Harmorappa apata shavu

Felix King Zaman

Senior Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
125
Reaction score
117
Habari zinazonifikia kitaa kutoka town zinasema kuwa Harmorappa underground ambaye amehit kwa kasi amepata shavu . Leo asbuhi alionekana Nairobi na inasemekana yupo kule kufatlia dili ya kuwa ambassador wa Safaricom nchini Tanzania. Mbali na haya yupo na mpango WA kukutana na Sauti Sol kwa ajili ya collabo.
 
Hii picha ni ya barabara inayopita kando ya Arusha Airport kama kuelekea kisongo, inahusika vipi na hii habari ya mwana Darisalama?
 
Kweli kiki imelipa kwa upande wake.
 
Yeye aendelee kusaka sifa ktk kona ya nchi lkn ipo cku atanyooka atakapoambiwa aeleze kuhusu wapi anapatta pesa za kupigia picha!! Kesi ya madawa iko nyuma yake asipojibadila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…