Harold Sungusia umetusaliti, Our honour has been been shuttered Irrevocably

Harold Sungusia umetusaliti, Our honour has been been shuttered Irrevocably

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Tulitegemea utoe kauli juu ya kukamatwa Kwa hawa akina Slaa et al. Unakwenda Ikulu kupokea viwanja na kuomba uteuzi.

Uliaminiwa sana na waliikuchagua, sasa umewasaliti.

Kwa vipade vya fedha (kiwanja for that matter) huwezi kuyakemea mapungufu ya Samia

Kuna burning issue ya haki za watu kikuukwa, unakaa kimya kupokea viwanja!

Pia soma > Rais Samia amkabidhi Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Hati ya Kiwanja

sungusia.jpg
 
Tulitegemea utoe kauli juu ya kukamatwa Kwa hawa akina Slaa et al. Unakwenda Ikulu kupokea viwanja na kuomba uteuzi.

Uliaminiwa sana na waliikuchagua, sasa umewasaliti.
ajabu sana yaani unataka mtu afikiri na kutenda kama wewe ? Ifike mahali ukubaliane kutofautiana hususani mtazamo. eti umewasaliti😳
 
Tulitegemea utoe kauli juu ya kukamatwa Kwa hawa akina Slaa et al. Unakwenda Ikulu kupokea viwanja na kuomba uteuzi.

Uliaminiwa sana na waliikuchagua, sasa umewasaliti.
Waliofanya naye kazi pale kituo Cha Msaada wa kisheria kwa Bi Kijo( now Anna Henga) wanasema ni mwoga kupindukia na ni one of them!
 
Tulitegemea utoe kauli juu ya kukamatwa Kwa hawa akina Slaa et al. Unakwenda Ikulu kupokea viwanja na kuomba uteuzi.

Uliaminiwa sana na waliikuchagua, sasa umewasaliti.
hilo likiwanja sijui anaendanalo wapi? wakati hata jengo jipya pale chato street mawakili bado wanalipia hata wanaoapishwa bado wanakatwa deni la ujenzi, kwa kweli kajua kutuvua nguo. ngoja tuchutame tu
 
ajabu sana yaani unataka mtu afikiri na kutenda kama wewe ? Ifike mahali ukubaliane kutofautiana hususani mtazamo. eti umewasaliti[emoji15]
Tatizo lako Hujui kuwa huyu alikabidhiwa dhamana ya majukumu ya TLS. Ameyaweka pembeni na kuweka tumbo lake mbele. Kuna burning issue ya haki za watu kikuukwa, unakaa kimya kupokea viwanja!
 
Nyumbu bwana, wao wanataka kila mtu awe na kisirani kama wao. Watu wamestaarabika ndg zangu
 
Tatizo lako Hujui kuwa huyu alikabidhiwa dhamana ya majukumu ya TLS. Ameyaweka pembeni na kuweka tumbo lake mbele. Kuna burning issue ya haki za watu kikuukwa, unakaa kimya kupokea viwanja!
sio Lazima ashughulike nazo kwa mihemko na muda unaotaka wewe.
Haraka ya nini, nadhani anajua anachopaswa kufanya be patient give him time
 
sio Lazima ashughulike nazo kwa mihemko na muda unaotaka wewe.
Haraka ya nini, nadhani anajua anachopaswa kufanya be patient give him time
amepotoka, haaminiki tena maishani. sawa na Dr. Slaa, haaminiki ila kwa hili tunaangalia haki yke iheshimiwe.......lkn haaminiki
 
Back
Top Bottom