University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
AchievementBig up kwake lakini pia nakutoa shukran kwa diamond kwa alivyomsaidia big archievement
I like it.....HONGERA HARMONIZE KWA TUZO.!!!View attachment 1171171View attachment 1171174
Nadhani tatizo mwanzoni alikuwa akitumia jina la Wizkid, baadaye akafungua akaunti mpya ya Starboy U-Tube so subscribers wamegawanyikaStar boy again hayupo basi hiyo list ni feki
hiyo sio tuzo...bwana ni kama kijimemo tu huwa wanapewa watu wanaofikisha subscriber kuanzia 1000
Best Tanzanian Artist KONDEBOYHONGERA HARMONIZE KWA TUZO.!!!View attachment 1171171View attachment 1171174
wewe ni mke wa Idris sultan?Nikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani.
Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala.
Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!
kwanini asipewe alikiba na wahuni wake?hiyo sio tuzo...bwana ni kama kijimemo tu huwa wanapewa watu wanaofikisha subscriber kuanzia 1000
Mimi mmeo mkubwa. Leo utalalwa kwangu ?wewe ni mke wa Idris sultan?
kama sio usipende kuiga kuitaingiziwa
inawezekana jinsi ya kujaza hajui ili youtube wamtumie...ingekuwa ni tuzo ingeambatana na kupostiwa na account za youtube...ila alichopata huyu jamaa ata wewe unaweza kupata sio tuzo...watanzania tusipende kukuza mambokwanini asipewe alikiba na wahuni wake?
hivi wewe chibu anakupaga nini?Big up kwake lakini pia nakutoa shukran kwa diamond kwa alivyomsaidia big archievement
hiyo sio tuzo...bwana ni kama kijimemo tu huwa wanapewa watu wanaofikisha subscriber kuanzia 1000