Harominize apewa tuzo na kampuni ya YouTube.

Nikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani.

Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala.

Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!
wewe ni mke wa Idris sultan?


kama sio usipende kuiga kuitaingiziwa
 
kwanini asipewe alikiba na wahuni wake?
inawezekana jinsi ya kujaza hajui ili youtube wamtumie...ingekuwa ni tuzo ingeambatana na kupostiwa na account za youtube...ila alichopata huyu jamaa ata wewe unaweza kupata sio tuzo...watanzania tusipende kukuza mambo
 
Big up kwake lakini pia nakutoa shukran kwa diamond kwa alivyomsaidia big archievement
hivi wewe chibu anakupaga nini?
yaani kila nyuzi unamtaja tu hata kama haimuhusu. khaa!
hapa anaongelewa harmo lakini wewe ushamuingiza chibu.
so ashukuru mara ngapi? hata kwa hizo zawadi za youtube?
unaboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…