1000? Mbona mi sijapewa?[emoji44][emoji44]hiyo sio tuzo...bwana ni kama kijimemo tu huwa wanapewa watu wanaofikisha subscriber kuanzia 1000
hujaomba....kuna namna ya kuomba...sema ufundishwe1000? Mbona mi sijapewa?[emoji44][emoji44]
Hongera sana Harominize YOU MEDE IT.HONGERA HARMONIZE KWA TUZO.!!!View attachment 1171171View attachment 1171174
Uzi umeingia mduduPongezi kwa serikali ya awamu ya tano
Shida yako nini haswa?Hongera sana Harominize YOU MEDE IT.
View attachment 1171901
Mkuu Sijakusoma kabisa,wapi nimezungumzia safari yako ya JF? Wapi Nimekuhukumu? Mie Nimempongeza Harominize,HE MEDE IT kupata 1milioni Subscribers.Shida yako nini haswa?
JF naijua kipindi yupo C.T.U
Na kipindi ilidukuliwa 2015 wakati wa uchaguzi.
Nilikua msomaji tu na sikua na account humu so 2018 isikutishe.
Kipindi nipo sekondari halafu nilikua sinaga habari za kuingia mitandaoni.
Tena JF haikuwa na muonekano huu.
Usihukumu usichokijua.
Avatar yangu inakuhusu nini hii hapo⬆⬆⬆Hongera sana Harominize YOU MEDE IT.
View attachment 1171901
hahaha..... una pepo wewe jamaa.Nikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani.
Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala.
Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!
Hajui hata Emmanuel Tv wamepewa juzi kati hapa ikawa bonge la inshu anachukulia poa poa tuNi recognition and it's a big deal.
Nifanyaje liweze kutoka mkuuhahaha..... una pepo wewe jamaa.
Wale wabana visauti.kwanini asipewe alikiba na wahuni wake?
Hatukupi like hiloooo aibuuuuiKiba anayo toka dhamani sema tu Mambo yake mengi ni privet hapendi show off
inabidi ujinyonge tu...Nifanyaje liweze kutoka mkuu
HONGERA HARMONIZE KWA TUZO.!!!View attachment 1171171View attachment 1171174
Tuheshimiane basi mkuu. Yaani kiba na management yake yote hawajui jinsi ya kuwajaza ila wewe ndio unajua?! Asee yani Afrika nzima wanaojua kujaza kwa upande wa wasanii ni hao wanne tu?! Hili rungu nimelikwepa.inawezekana jinsi ya kujaza hajui ili youtube wamtumie...ingekuwa ni tuzo ingeambatana na kupostiwa na account za youtube...ila alichopata huyu jamaa ata wewe unaweza kupata sio tuzo...watanzania tusipende kukuza mambo
Kiba anayo toka dhamani sema tu Mambo yake mengi ni privet hapendi show off
sawa sultan idNikiongea mazuri yanayofanywa na serikali, navamiwa na upinzani.
Nikikosoa makosa ya serikali navamiwa na chama tawala.
Nikikaa kimya navamiwa na wananchi wote wakereketwa Sasa si mninyongeeeee tuuu !!!
Kuanzia 1M subs youtube wanakupa hiyo title, sio tuzo sema wabongo hawaelewhiyo sio tuzo...bwana ni kama kijimemo tu huwa wanapewa watu wanaofikisha subscriber kuanzia 1000
bora umeniunga mkono....wabongo washamba sana...sasa kama ni tuzo si hiyo youtube itafirisika maana wenye subscriber zaidi ya hiyo ni wengi mno...Kuanzia 1M subs youtube wanakupa hiyo title, sio tuzo sema wabongo hawaelew