Harry Kane ana gundu!

Harry Kane ana gundu!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Harry Kane amewatia gundu wenzie mpaka kombe wamelikosa kama alivyowapelekea gundu Bayern Munich wakakosa ubingwa msimu uliopita na sasa kwa mara nyingine vijana walipambana lakini mkosi aliokuwa nao kane ni hatari sana imefika kipindi apumzike ili awaachie vijana wabebe kombe tu.
 
Harry kane amewatia gundu wenzie mpaka kombe wamelikosa kama alivyowapelekea gundu bayern munich wakakosa ubingwa msimu uliopita na sasa kwa mara nyingine vijana walipambana lakini mkosi aliokuwa nao kane ni hatari sana imefika kipindi apumzike ili awaachie vijana wabebe kombe tu!
Na hata alivyo tu Kimwonekano hapendezi kuwa Nahodha wa Timu na hata Kunyanyua Kombe lenye Hadhi kama hilo.
 
Harry kane amewatia gundu wenzie mpaka kombe wamelikosa kama alivyowapelekea gundu bayern munich wakakosa ubingwa msimu uliopita na sasa kwa mara nyingine vijana walipambana lakini mkosi aliokuwa nao kane ni hatari sana imefika kipindi apumzike ili awaachie vijana wabebe kombe tu!
Kweli kabisa...
 
Shida ya sisi watu pale vitu visivyo enda sawa ndio tunatoa maneno yetu but kama jana England angeshinda sizan kama Kuna chochote kingeongelewa kibaya kuhus HARRY KANE
Nawasilisha
 
Shida ya sisi watu pale vitu visivyo enda sawa ndio tunatoa maneno yetu but kama jana England angeshinda sizan kama Kuna chochote kingeongelewa kibaya kuhus HARRY KANE
Nawasilisha
Wewe hujaona kule Kwa trump wanasema kajitungua kupata kura za huruma wakati risasi ingempata vizuri sijui wangesema kajiua kukwepa aibu ya kushindwa.
Watz tunaumwa.
 
Ila nyie watu mna matatizo ya problem. Kwahiyo mlitarajia kabisa kwamba England inaweza kutoboa mbele za wale madogo wa Spain? Kwa England hii hii isiyo na tofauti na Taifa Stars? Kuweni serious basi.
 
gundu gani wakati uwezo watimu yao ni mdogo walipigwa kistahiki kabisa
 
Back
Top Bottom