frank lujaju
Member
- Aug 21, 2011
- 58
- 4
swaki baada ya chafya
Mkuu. unapata choo vizuri kwa siku?
Unaweza kuwa na matatizo tumboni. Muone doctor
Aisee,hiyo kitu huwa inanikera sana. Kuna mtu alipiga chafya in a meeting harufu ilisambaa kote. Nilicho observe ni alipiga mdomo wazi, na niliona chembechembe za mate(sijui na bacteria,lol). Njia ya haraka ni kuhakikisha unapiga chafya ukiwa umefunga mdomo.
My guess. Tatizo laweza kutokana na ubovu wa meno ama mafindofindo, same reasons zinazopelekea kunuka mdomo.
tumia kitamba wakati wa chafya