Wataalamu wa magonjwa ya ngozi nisaidieni kila saa nasikia harufu mbaya kwenye mapu__u nuumetumia deodorant nikawashwaz sikupona, Dr?linambia dawa ya fungus Hydrocotizone na nivae chupi safi na ziwe mpya ktk Biology form 4 tulisoma kuna joto kali huko nisaidieni nashinda bafuni