Simpo! kila anapotoka kukoga akaushe miguu vizuri halafu aisugulie ndimu, aiache ikauke yenyewe ndio aanze. Na kama hana kawaida ya kukoga kutwa mara tatu, basi ahakikishe anapoamka anaosha miguu, anakandamiza ndimu, kila kipande mguu mmoja, mchana, jioni na kabla ya kulala hivyo hivyo. Within few days, hali itarudi kuwa ya kawaida.
Na hii inafaa pia kwa wale wenye harufu ya kwapa na ya mdomo. Kwapa, ni kama hapo juu lakini unapaka kwapani na mdomo ni kama hapo juu lakini unasukutuwa, ndimu asilia si ya unga.