Harufu mbaya toka tumboni

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,079
Reaction score
2,152
Tatizo hili kitaalam tunaita Halitosis linawasibu wengi bila kujua

Tiba
Chukua baking soda (bicarbonate) kijiko kimoja kikubwa, limao 1 au ndim changanya na maji kikombe kimoja
kunywa kila siku asubuhi kabla hujala chochote, tumia kwa siku saba. Lamba nyuma ya kiganja chako na unuse ili kujua kama una tatizo hili

bila kusahau kupangisha/kuuza na mahitaji ya nyumba, vyumba ,viwanja ,beach n.k kigamboni piga sim 0718295182
 

Daktari halafu dalali..kweli utawala huu wa magufuli tukisema tukomae na taaluma zetu tu tumekwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…