Wakuu habari.
Harakati za pimbi(kutafuta ridhiki) nimejikuta nafanya kibarua(casual) kwenye processing plant ya dhahabu. Ambako mda wote tunashinda tumevaa gambuti na baada ya kazi tunaenda kuoga chapu ndani ya dk 5 inatakiwa uwe ushamaliza kuoga uko kwenye usafiri unarudi nyumbani.
Kwa kadhia hii asilimia kubwa unajikuta umevaa viatu miguu ikiwa haijakauka kiasi kwamba swala la kupata fungus ni kugusa!. Ambayo inapelekea miguu kunuka. Bila kuweka bicarbonate utafikiri Kuna mzoga umekufa ukivua viatu.
Basi bana juzi kati nikapata kadem tukakubariana tukalane! Kwa bahati mbaya nikaenda eneo la kulana bila kupita home kuoga vizuri na kuvua vile viatu vinavyonuka.
Shoo inaanza nilivyovua viatu tu harufu kali ikatapakaa chumbani! Nikajua hapa tayari nishayakanyaga😌😌😌.
Kuona hivyo yule mdada alijifanya anapokea sim nakujifanya kuwa mama ake anaumwa then akasepa zake. Kuanzia hapo hapokei sim zangu wala message!!
We Aggy usiniache please hili swala linazungmzika.
Nawasilisha.
Pia soma: Dawa ya Miguu kunuka Andaa mwenyewe popote ulipo
Harakati za pimbi(kutafuta ridhiki) nimejikuta nafanya kibarua(casual) kwenye processing plant ya dhahabu. Ambako mda wote tunashinda tumevaa gambuti na baada ya kazi tunaenda kuoga chapu ndani ya dk 5 inatakiwa uwe ushamaliza kuoga uko kwenye usafiri unarudi nyumbani.
Kwa kadhia hii asilimia kubwa unajikuta umevaa viatu miguu ikiwa haijakauka kiasi kwamba swala la kupata fungus ni kugusa!. Ambayo inapelekea miguu kunuka. Bila kuweka bicarbonate utafikiri Kuna mzoga umekufa ukivua viatu.
Basi bana juzi kati nikapata kadem tukakubariana tukalane! Kwa bahati mbaya nikaenda eneo la kulana bila kupita home kuoga vizuri na kuvua vile viatu vinavyonuka.
Shoo inaanza nilivyovua viatu tu harufu kali ikatapakaa chumbani! Nikajua hapa tayari nishayakanyaga😌😌😌.
Kuona hivyo yule mdada alijifanya anapokea sim nakujifanya kuwa mama ake anaumwa then akasepa zake. Kuanzia hapo hapokei sim zangu wala message!!
We Aggy usiniache please hili swala linazungmzika.
Nawasilisha.
Pia soma: Dawa ya Miguu kunuka Andaa mwenyewe popote ulipo