Harufu mbaya ya mkojo - Msaada

Ningelikushauri uende tena Hospitali Kuu ya hapo ulipo hata kama Hospitali ya kulipia itakuwa ni bora ukapimwe ili ijulikane una matatizo gani kwenye hicho kibofu chako cha mkojo. Mkuu Njaa
 

Chukuwa mdalasini iliyosagwa unga vijiko vitatu vya chakula, vijiko vitatu vya asali mbichi vya chakula, weka kwenye glass au kikombe cha maji ya moto, koroga, kunywa kama chai, kutwa mara tatu namna hiyo halafu baada ya wiki moja njoo hapa ulete jibu.
 
Maji,
Hiyo ni dalili ya dehydration. Kunywa maji angalau lita tatu kwa siku, mkojo hautanuka.
Punguza alcohol, caffeine, nyama (urates) na kama unavuta msuba, punguza kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…