Harufu ya kinywa kwa mtoto

daraja la kigamboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2016
Posts
3,127
Reaction score
3,062
Mtoto ana miaka 5 lakini anaharufu kali mdomoni, hata akipiga mswaki baada ya muda mfupi inarudi tena. Nini chanzo na tiba yake
 
1)anameno yaliyooza na kuweka vishimo?
2)mswaki anapiga mwenyewe au nyinyi ndio mnamsafisha?
 
Mtoto ana miaka 5 lakini anaharufu kali mdomoni, hata akipiga mswaki baada ya muda mfupi inarudi tena. Nini chanzo na tiba yake
Meno yasafishwe kwa utaratibu ufuatao,
Juu ya jino,pembeni ya jino kwa ndani,pembeni ya jino kwa nje na hii ni kwa meno yote ya juu na chini kisha ulimi usafishwe pia usikae na weupe.
 
Hiyo harufu inatoka kooni kama si tumboni. Embu mpeleke kwa wataalamu wa kinywa. Anaweza pata dawa za kumeza au ushauri zaidi.
 
Aache kutafuna vitunguu...

Mpeleke hospitali akaangaliwe kinywa chake...


Cc: mahondaw
 
Mtoto ana miaka 5 lakini anaharufu kali mdomoni, hata akipiga mswaki baada ya muda mfupi inarudi tena. Nini chanzo na tiba yake
Tatizo wala sio kubwa!
Issue ni kuwa ulimwanzisha kumpiga mswaki akiwa mtoto mdogo..
Watoto wadogo chini ya miaka 12 hawaruhusiwi kupiga mswaki, dawa za meno zote zina madhara.
Unapopiga mswaki na dawa unaua vijidudu sahihi vinavyozalisha Vitamini B12.
Hivyo kinywa kimekosa kinga yake na kuvamiwa na wadudu wasiofaa wanaochakata vyakula jamii ya sukari na hivyo kutoa harufu.
Dawa yake muachishe kumpiga mswaki na dawa, badala yake mfundishe kusukutua kwa kidole tu, baada ya muda kinga yake ya kinywa ikijijenga ataacha kutoa harufu, vivyo hivyo kwa watu wazima.
 
Kwahiyo mtoto wa five years asipige mswaki?? Au unamaanisha 12 years asipige mswaki?? 12 years si mtoto wa class 7 au 6.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…