Harufu ya kondomu inaninyima raha!

We bado unatumia ndom hadi leo? Mi nilishaacha kwanza zinanibana
 
bana pumzi wakati wa kuvaa halafu uache huko chini mambo yajiendeshe automatic. kwani unavaa puani?.mi nilijua labda unalalamika zinakubana kumbe harufu tu!.bora harufu kuliko kufa. over
 
ni visingizio tu vya kutaka nyama kwa nyama. Zipo zenye manukato
 
Zipo zenye harufu mbali mbali....kwa mfano ndizi n.k wewe unasumbuliwa na harufu ipi
 

Acha uzinzi, kuwa na mpenzi mmoja mnaeaminiana, mkapime VVU, the baada ya hapo ni nyama kwa nyama kwa kwenda mbereee!
 
Acha uzinzi, kuwa na mpenzi mmoja mnaeaminiana, mkapime VVU, the baada ya hapo ni nyama kwa nyama kwa kwenda mbereee!
Na kweli maana kutumia kundomu knataka watumiaji wawe na mashaka mashaka......... HEBU FIKIRI...... umeenda wodi ya wagonjwa wa ukimwi au majumbani unakutana na mwenye ule ukimwi wa enziu zile.....kakondaaaaaaaa na vyeti vinasema anao.....UTAKUBALI UKARAMBANE NAYE KWA KUTAUMIA KONDOMU....??? AU NUTATOKA BARUTI.......???
 

Kumbe K inanuka?
 
hyo avator yako itoe kwanza ndo nikupe ushauri mdau,dini za watu hzo.......
 
We mı sıkuelewı mara harufu ya NDOM mara K, nıkushaurı lıpı sasa!
Yawezekana harufu ınayokukwaza nı ya K sıo ndom.
Haya ndo madhara ya kuangusha vıtoto vya uswahılını.
Kula watu wazıma wenzıo na usıwe bahırı ınapokuja suala la kujıkınga na maradhı tumıa condom yenye qualıty nzurı na utumıe moja kwa tendo moja sıo kuloweka mtarımbo wako mpaka hamu zıkuıshe ndo unachomoa.
Jıtambue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…