Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 395
- 357
😂 😂 😂 😁 😁kikwapa hicho maji ya dawasco nini,
Muambie tu ukweli ila hakikisha kumwambia hukua na maana mbaya ila ulitaka kumsaidia tu
Wapo wengi hasa midomo
Utazunguuuja we
Tafuta namba nyingine mtumie sms mwambie ukweli wote muelekeze na nini cha kufanya.
Kama huwezi tafuta jamaa ako hapo ofisini muAnze kumtania utani utani mama kikwapa hicho maji ya dawasco nini,atanyooka tu
[emoji16][emoji16] pole sana aisee
Muambie tu ukweli ila hakikisha kumwambia hukua na maana mbaya ila ulitaka kumsaidia tu
Shukrani mkuuTafuta product ambazo unahisi zitaweza msaidia then muulize ..fulani ushawai tumia sabuni ,perfume,lotion,mafuta fulani akijibu “no” mwambie jaribu ni mazuri yatakusaidia ,then mueleze kwa nini unamsaidia
Mnunulie body spray kama zawadiLadies and gentlemen tusaidiane kidogo hapa...
Hivi ni njia ipi bora ya kumwambia mtu mwili wake unatoa harufu bila kum-offend? Ni opposite sex na mna mahusiano either ya kikazi (co-worker) ama kwa namna moja kuna kitu kinawaweka eneo moja siku zote za kazi