HhSiyo lazima sana watu wote waandamanie mahakamani hata mtaani tu inatosha kufikisha ujumbe kwa walengwa.
You are an ardent supporter of coronavirus measures,this is one of them
Kuanzia August 14 kuendelea tegemea lockdown. Tz us kumtindo
Kesi ya Ugaidi itaendeshwa kwa kutumia camera.
Uko sahihiKufuata mapendekezo ya wataalamu wa afya na kuweka siasa pembeni lilikuwa jambo la msingi sana.
Jiwe na washirika wake wote hawawezi kukwepa lawama:
View attachment 1878785
Mtaani kwetu leo within 500m kuna misiba 3. Juzi ilikuwa 8 within 1km. Serikali iko kimya inataka kodi na tozo zaidi.
Hatua zozote za kitalaamu za kuidhibiti hali hii zisizokuwa na chachandu yoyote ya siasa ndani yake zitakaribishwa kwa mikono miwili.
Mkakati gani upo kuudhibiti ugonjwa huu? Jibu ni kuwa haupo. Wa kufa wanakufa wa kuishi na aishi ati kuwa tumetolewa hofu.
Kutolewa hofu kwa maana ya mtu kutojali nani kafa hadi yamkute yeye ni upumbavu uliopitiliza.
Kweli kabisa,wao wanapoelekeza nguvu maeneo ya mahakama watu mitaani wanapita na maandamano ya AmaniSiyo lazima sana watu wote waandamanie mahakamani hata mtaani tu inatosha kufikisha ujumbe kwa walengwa.
Jiwe aliipuuza? Kuandikwa je? Au hawa lawama hawana kwenye ignorant mass?
View attachment 1878813
Kwani chanjo tunayoisotea bila mafanikio iko wapi?
#COVID19 - Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi
Mrejesho - day 1 (2nd Aug): Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa. Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara. Karibu...www.jamiiforums.com
Janga hili haliwezi kupiganwa na mtu mmoja mmoja.
Watu wa Loliondo nao wanajikinga vipi?
#COVID19 - Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi
Mrejesho - day 1 (2nd Aug): Nitapata chanjo yangu inshallah pamoja na washirika wangu makwetu. Hili si zoezi la kukosa mimi na wote niwapendao. Hayawi hayawi hatimaye huenda yatakuwa. Tumefika kujiandikisha 08:00: wenye magonjwa mengine na wazee 50+ kwa mujibu wa waraka wa wizara. Karibu...www.jamiiforums.com
You must be kidding!
Acha ujingaa wewe!
Jikinge na korona sio kulalama kila siku na serikali isiyo jali
ukikosa maarifa utaangamia tu
Wambie familia yako, ukoo, kijiji wachukue tahadhari kinachoua ni korona na sio serikali.
TAHADHARI YA COVID INAANZA NA WEWE
Hahahaha basi itasogezwa mbele kumalizia tathimini ya uchanjaji phase 1Chakorii sogea.