Harufu yake mbaya wakati huu ana mimba

Harufu yake mbaya wakati huu ana mimba

MGOGO27

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
459
Reaction score
218
Nina rafiki yangu anaitwa............mpenzi wake ana ujauzito sasa tangu awe hivyo harufu yake imekuwa mbaya zaidi ya kawaida.

Tena wakifanya mapenzi ndo kabisa,anaomba msaada sasa mimi alinambia na sijui nimshauri nini.

Wanajamvi naomba msome huu uzi na mnisaidie tafadhali

Matusi sio mazuri ila ukweli ni mzuri.
 
Nina rafiki yangu anaitwa............mpenzi wake ana ujauzito sasa tangu awe hivyo harufu yake imekuwa mbaya zaidi ya kawaida tena wakifanya mapenzi ndo kabisaa,anaomba msaada sasa mimi alinambia na sijui nimshauri nini wanajamvi naomba msome huu uzi na mnisaidie tafadhari matusi sio mazuri ila ukweli ni mzuri


Samahani kama sijaelewa vizuri, yupi kati yao anakuwa na harufu mbaya rafiki yako (ambaye ni wewe*) au mwanamke wake?
 
Washauri wajisalimishe hospitali wote wawili kwa uchunguzi, kwa afya ya mama na mtoto mtarajiwa.
 
Tukusaidie wewe ama huyo aliekuomba ushauri? Anyway mvumilie tu ni kipindi cha mpito akijifungua atarudi katika hali yake ya manukato!
 
Haraufu ya wapi? Mdomo, kwapa, mwili, nyuchi, makalio, kichwa au nini?
 
hapana ndugu nihatari sana kwa afya ya mtoto aliyepo tumboni inawezekana anamaambukizi ya magonjwa ya zinaa ajielezee tu kule clinic achekiwe na apate tiba fasta laa sivyo huo mzigo aliobeba huyo mama anaweza kuutua ukiwa na walakin nyingi sana
Tukusaidie wewe ama huyo aliekuomba ushauri? Anyway mvumilie tu ni kipindi cha mpito akijifungua atarudi katika hali yake ya manukato![/QUOT
 
Tukusaidie wewe ama huyo aliekuomba ushauri? Anyway mvumilie tu ni kipindi cha mpito akijifungua atarudi katika hali yake ya manukato!
Mkuu akinisaidia mm ntamsaidia yeye so tusaidie
 
Back
Top Bottom