nitonye JF-Expert Member Joined Dec 18, 2011 Posts 7,342 Reaction score 3,885 Feb 13, 2012 #1 Nashindwa kuelewa ni kwa nini wasanii wetu pamoja na wachezaji wetu wa mpira pindi waulizwapo maswali hujibu pumba tu?
Nashindwa kuelewa ni kwa nini wasanii wetu pamoja na wachezaji wetu wa mpira pindi waulizwapo maswali hujibu pumba tu?
M mashambani kwao JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 370 Reaction score 56 Feb 14, 2012 #2 hana marafiki wa karibu wanaojua jinsi ya kuongea na watu mbalimbali,then muda mwingi kuwa vijiweni,kushindwa kuiga wachezaji wenzao jinsi wanavyo jibu maswali kwa waandishi wa habari,kuvuta bangi,poa bro.
hana marafiki wa karibu wanaojua jinsi ya kuongea na watu mbalimbali,then muda mwingi kuwa vijiweni,kushindwa kuiga wachezaji wenzao jinsi wanavyo jibu maswali kwa waandishi wa habari,kuvuta bangi,poa bro.