Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Kama utani aniKwa hiyo kakunja million tisini?
Hizo ndogo sana Simba alichota Milioni 150Kama utani ani
Ajabu asingekubali pesa hiyo Bongo. Shamba la bibiKwa mujibu wa UFM radio ni kwamba aliyekuwa mchezaji wa simba na mkataba wake kumalizika msimu ulioisha, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda amesaini mkataba na club ya AS Vita ya Congo kwa dau la $40000.
Simba sijui wamefeli wapi kuachana na mchezaji muhimu kama Haruna Niyonzima.
Atakula benchi kama kawaida.Tatizo Simba wamemsajili Ajibu ili kuikomoa Yanga. Wamemwacha Niyonzima. Ajibu mpumbavu kweli. Simba walimtema kama big G.Wamemchukua tena. Acha season ijayo watamtema tena.
Amekataa hela au ametupiwa virago mkuuHuyo haruna amekataa hizo fedha simba anaenda kupokea hizohizo as vita,sijui alifikiri kuna timu itatoa hela zaidi ili kumsajili
Mwaka huu mnachokitafuta Simba mtakipataKwa mujibu wa UFM radio ni kwamba aliyekuwa mchezaji wa simba na mkataba wake kumalizika msimu ulioisha, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda amesaini mkataba na club ya AS Vita ya Congo kwa dau la $40000.
Simba sijui wamefeli wapi kuachana na mchezaji muhimu kama Haruna Niyonzima.
Ukiachana na kuwakomoa omba ombaTatizo Simba wamemsajili Ajibu ili kuikomoa Yanga. Wamemwacha Niyonzima. Ajibu mpumbavu kweli. Simba walimtema kama big G.Wamemchukua tena. Acha season ijayo watamtema tena.