Haruna Niyonzima awe fundisho kwa wengine

mkatagogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
229
Reaction score
44
Kumekuwepo na baadhi ya wachezaji wa kigeni kujiona bora kuliko wengine sasa kwakitendo cha yanga kumsimamisha kazi huyo jamaa itakuwa fundisho
 
Yap,Yanga kwanza mchezaji baadae.

Hamna Lolote Ngojeni MTUNGULIWE Na Stand United Kesho au Mtoke Nao SARE Uone Kama Jumatatu Tu Hamkumfungulia Kwani Kuna Mechi Ngumu Zinakuja Wiki Ijayo. Kwa Tunaojua Mpira Wa Kibongobongo Yanga Haina UBAVU Kwa Haruna Fadhil Hakizimana Niyonzima Kwani Yeye Ndiyo ROHO Ya Yanga Na Anawafanya ATAKAVYO!
 

usifikiri yanga wana akili kama za simba? mchango wa niyonzima ni mdogo sana kwa msimu huu.
 

Mkuu GENTAMYCINE, Stand United 'katumbuliwa' 4-0 bila kuwepo Niyonzima, hafunguliwi mtu na adhabu iko pale pale. Mikia fc jiandaeni kumpokea huko kwenu kama mlivyofanya kwa Hamis Kiiza.
 
Last edited by a moderator:
Mara harusi ,mara timu ya taifa kwani yanga ilikuajiri sio kitu ?nenda bwana tutaleta mwingine mzuriiii zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…