Haruna Niyonzima

Achraf Hakimi

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2010
Posts
943
Reaction score
1,944
KIUNGO HARUNA NIYONZIMA 'FABREGAS' AMEJIUNGA NA YANGA KWA MKATABA WA MIAKA 2 AKITOKEA KLABU YA APR YA NCHINI RWANDA.
.

HARUNA NIYONZIMA AKIKABIDHIWA JEZI NAMBA 8 NA MJUMBE WA KAMATI YA MASHINDANO NA USAJILI WA YANGA ABDALLAH BIN KLEYB.





HARUNA NIYONZIMA AKIMWAGA WINO KUJIUNGA RASMI NA KLABU YA YANGA KWA AJILI YA MSIMU UJAO WA LIGI.
 
Dogo ameingia usiku huu
 
Hizo ni mbwembwe tu wala hawawezi kufika popote;tushaazoea kelele zao
 
kaja mwape hapa.....................leo taka taka ya kutupa chooni.
 
asamoah kafunga na huyo niyonzima mchezaji bora kwenye gem yao huko moro..na bado
 
Kila mwaka usajili unafanyika kwa mbwembwe lakini hakuna la maana linalofanyika!
 
Tusubiri tuone fitna zitakavyoanza uwanjani hasa kutopewa pasi wasionekane kabisa.....aulize wenzake hapo bado misumari mpira wa tanzania ni balaa sana
 
Jana kachezea APR......................sasa sijui ni mchezaji wa Ndala au?
 
Jana kachezea APR......................sasa sijui ni mchezaji wa Ndala au?

Mkataba wa Haruna Niyonzima na APR unaisha mwezi Septemba 2011 baada ya hapo atakuwa huru kuichezea Yanga kwa maana hiyo ataweza kuanza kuichezea Yanga Mwezi Januari 2011 mara baada ya kumalizika kwa dirisha dogo la usajili la TFF,hapo atapata fursa ya kuichezea Yanga katika VPL pamoja na CL ya CAF..........
 
Dah! Hii kamati ya usajili ya akina Abdallah Bin Kleb, Seif Magari, nk ilikuwa ni hatari sana enzi hizo!! Yaani ilikuwa haikosei!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…