Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Mallerina aje kutuambia kama alitembea akapataWakuu tuwe na utaratibu wa kutembea tembea kutafuta kazi za kufanya.
Kazi zipo
Kazi zipo
Vibarua vipo..kijana pambana ni mda wako huu
Ndo mkome.... 🤣🤣🤣🤣🤣Mliwaza nini.
Mbona wewo
SawaFanya kazi..
Kukaa nyumbani inachosha
Kwani tunakaa newmbani au kwenye viti?Fanya kazi..
Kukaa nyumbani inachosha
Watu wanaenda na ma hot pot harusini ili wabebe cha watoto nyumbani.Kwani bwana harusi na bibi harusi si walikuwepo? Hao tu ndio wa mihimu haya mambo ya bufee ni nyongeza tu
Achana na kuingiza kipato kwa siku njoo nikufundishe kuingiza kipato kizuri kwa masaa machacheFanya kazi
Fanya kazi
Tafuta kazi halali ya kukuingizia kipato kwa siku.
Umeenda na msosi wakoMliwaza nini.
Mbona wewo
Arusi yangu nitaweka pombe kali tu bila chakulaWatu wanaenda na ma hot pot harusini ili wababe cha watoto nyumbani.
Mkuu,Wakuu tuwe na utaratibu wa kutembea tembea kutafuta kazi za kufanya.
Kazi zipo
Kazi zipo
Vibarua vipo..kijana pambana ni mda wako huu
Utarudisha michango yetu.Arusi yangu nitaweka pombe kali tu bila chakula
Michango yenu naenda kumfungulia mama watoto duka la vipodoziUtarudisha michango yetu.
HahahaMichango yenu naenda kumfungulia mama watoto duka la vipodozi
Nlikosa naomba mkae tu ndani Fundi manyumbaNgoja Mallerina aje kutuambia kama alitembea akapata