Harusi ya Ajabu

I suggest JF awards you a PHD like Kikwete, Nchimbo, Mahanga, the list is endless in CCM!
 
Hii imetokea Sayari gani?

Na udaku wangu wote nisiipate? Kweli nazeeka vibaya!
Ah ah ah ah, mkuu, ukiona yanakupita ujue ndio bye bye ujana karibu uzee...! Ah ah ah ah.

Hii riwaya sio made in shigongo kweli!?
 
Kwa maendeleo haya Shigongo inabidi akae chonjo. Mayenga anakuja kwa kasi ya ajabu. Hadithi yake inatufundisha tusibariki ndoa na kukata keki mbili kwa wakati mmoja.
 
Ah ah ah ah, mkuu, ukiona yanakupita ujue ndio bye bye ujana karibu uzee...! Ah ah ah ah.

Hii riwaya sio made in shigongo kweli!?

Hata Shigongo hawezi kupika kitu ya namna hii.........!

Huu upishi sijawahi kuona tangu nizaliwe!

Hii ndio JF zaidi ya uijuayo mkuu!
 

Duh!!!!!!!!!! waliwekewa kisu cha kukata nyama kwa kweli duh!!!!! this is disastrous
 
hdithi haiuziki mkuu, wewe unasema....kwa kosa alililokusudia kulifanya,mwenzio anasema utumbo nje.wapi na wapi.
 
hizi hadithi za kubembelezea machangudoa wapate usingizi au................?
 
Hii imetokea Sayari gani?

Na udaku wangu wote nisiipate? Kweli nazeeka vibaya!

Teh teh...

Babu acha kula vidole aisee,
Mlete bibi ile semina inaanza kesho jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…