Harusi ya Darleen: Aliyemremba bibi harusi fundi kweli kweli!

Harusi ya Darleen: Aliyemremba bibi harusi fundi kweli kweli!

Kwa kweli huyu bibie mpambaji anaeeza pata lawama buree maana uso wake haukubaligi make up. Kwa mara ya kwanza nimeona kapendeza na nimeskia make up artist alokubali kuvaa mabomu ni LAVIE
 
Bora kaolewa, afanye majukumu ya ndoa sasa maana mziki alikuwa analazimisha tu.
 
Kubbra Hooda,
Lavie ameitendea haki Sanaa.
Eclat? mbona nasikia mlio wa ngoma na maneno yasiyo eleweka? hivyo visauti vya kuimba wanaume siyo kabisa! inaboa bana, umeipendea nini hii? hkn hata Sebene? Duuuuuuu!

Diamond na huyo dada sijui nani yake hawajiamini, pamoja na umaarufu woote huo? kwa sababu wanatafunya BG! dalili kubwa ya kuto jiamini, ili kupotezea hofu!, watu maarufu gani hawajajifunza namna ya ku-behave kwenye audience?

Yes! Baba Diamond anajiamini sana! kwa pause zake big up huyu mzee!
 
Eclat? mbona nasikia mlio wa ngoma na maneno yasiyo eleweka? hivyo visauti vya kuimba wanaume siyo kabisa! inaboa bana, umeipendea nini hii? hkn hata Sebene? Duuuuuuu!

Diamond na huyo dada sijui nani yake hawajiamini, pamoja na umaarufu woote huo? kwa sababu wanatafunya BG! dalili kubwa ya kuto jiamini, ili kupotezea hofu!, watu maarufu gani hawajajifunza namna ya ku-behave kwenye audience?

Yes! Baba Diamond anajiamini sana! kwa pause zake big up huyu mzee!
Baba Diamond sikuhizi anafaa high table na mtoto wake the Big Star hata miguu haimaumbui tena.
 
Back
Top Bottom