Harusi ya Mtanzania na Mwingereza

poa tu...

hapo ni uhakika wa kupata passport ya mama malkia basi maisha yanasonga..na kama bw harusi shule ipo maana yake boksi basi tena..kiufupi ni good strategic move ktk maisha na wapo wengi tu huko...

hongera kaka jilie vyako wacha wabongo wahangaike na wanasiasa wao uchwara huku...
 
Duh! Jamaaa kaolewa! Sipendi kweli mijamaa ya home kwenda kuoa bibi zao ulaya
 
sasa tatizo likowapi bwana kua na killo 72 na bbi 250? me mbona lilishawah kua na dem mwenye kilo 107 nami nilikua na kilo 65, na mzigo unachapwa hadi unalala!!
 
makaratasi na kurithi nini watu tu mambo
 
Kiranga nakupa hongera sana kwa kuliona hilo mbona kuna mambo mengi tu ya kuyajadili iwe kaoa mnene au mzee inawahusu nini yeye ndio anajua anapata nini au anakosa nini midume mizima umbea tu kama inaingizwa ......... sehemu ya ....
 
View attachment 14337
Harusi imefanyilka jana ktk mji wa Lincoln, Uk.......Bwana harusi ni 70 kg na Bi harusi ni 280kg

Bro hongera sana tuletee wifi letu tuselebuke nalo huku Ubungo achana na kina Boflo wanaotembea na mapamba makalioni kujisaidia choo kigumu kwao msamiati kila saa na mbrrrrrrrr
 
Hata kama ni mnene amependa mwenyewe.....people mind your business
 
sasa tatizo likowapi bwana kua na killo 72 na bbi 250? me mbona lilishawah kua na dem mwenye kilo 107 nami nilikua na kilo 65, na mzigo unachapwa hadi unalala!!



Well said..kuna mtu wangu mbobo ana 50kg na mke wake ni 120kg na ngoma inapigwa bila wasiwasi na inakubali the beats..
 
Jamani mbona tunarudi kulekule kwenye kujadili watu badala ya issues? Haya mambo ya kujadili huyu kaoa mnene, yule mwembamba au mzee au hivi au vile hayaendani kabisa na heshima iliyojijengea JF. Please buddies lets get on real issues and do away from this rubbish!
 
View attachment 14337
Harusi imefanyilka jana ktk mji wa Lincoln, Uk.......Bwana harusi ni 70 kg na Bi harusi ni 280kg


sioni tatizo kama amejitumana kuamini mzigo unakwendeka waiiii hongera kwa kulamba ganda kwanza maana wengine wana miaka kumi na ndoa zao wanatamani kurudi tanzania wanaishia kuchat jf kujua hali ya hewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…