Harusi ya mwana jf zemu-kule tanga.

Tall

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2010
Posts
1,425
Reaction score
168
Mwana JF mwenzetu ZEMU atafunga ndoa mwezi wa 7 kule Tanga( rejea thread yake mwenyewe:kitu kizuri kula na wenzio):Je kama ni kamati ya maandalizi unaona hapa JFnani anafaa kuwa mwenyekiti wa kamati ya:
1.CHAKULA
2.VINYWAJI
3.ULINZI
4.USAFIRI
5.BURUDANI.
naaaaah naa MC,kukaribisha wageni,naaaaah naaah labda atahitaji wadhamini,je nani awe
mdhamini wa bwana arusi na nani awe mdhamini wa bi arusi?
 
Ha ha ha.Umechagua vinywaji eeh.hatutaki ukae huko.Wewe tutakuweka kwenye Ulinzi.

Hiki kitengo mm nakimdu sana watu kama akina Chrispin nitaamuru wanywe mma 1 moja tu kwa kuhofia usalama wa ukumbi.
 
Mhasibu wa Fedha naomba niwe mie
tarehe ngapi tujipange
 


Katika hizo zote hapo juu, unadhani ni kamati ipi itakuwa na idadi kubwa ya warembo? Hiyo ndiyo itayonifaa zaidi!
 
Jamani hiki kitengo mm nakiomba mnipe.
Itabidi wadau tujipige pige kumsaidia mwenzetu.

Kaka Fidel 80 acha kuingilia fani za watu... Vinywaji niachie mimi... Fidel 80 nadhani wewe uwe Floor Manager...
 
Mchango mwingine wa harusi!!!! Lini mtaanza michango ya kusaidia mashule yetu ambayo yako katika hali mbaya!?
 

Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.
 
Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.

Mh. Mwaka gani mzee??
 
Kaka Tall kwanza nakushukuru kwa kuwakumbusha wanaJF, tarehe imebadilika kidogo itakuwa tarehe 17/04 baada ya tarehe hio ya awali kuwa na mkutano wa wachungaji.Karibuni sana WanaJF.
mboan imeshapitaaaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…