Up Todates...! Zahama la panya limetulia ila limeibuka lingine chakula kidogo kilichosalia kimerudishwa ndani, wenye binti wanataka mahari imaliziwe ndio mengine yote yaendelee
mwishowe tumeonja tuu... manake wahudhuriaji lundo msosi kiduchu, wengine sie kugombea hatuwezi
folk sio story ni tukio la kweli, baada ya maridhiano ndoa imefungwa tumeondoka kufika njiani tukakumbuka tumesahau kubeba vyombo vya bi harusi
hahahahab mamito kumekucha amka tukajenge taifa
have a great munday! without blue colors
y my angel? Au ni hiki kimvua? Kama vp tuahirishe ujenzi wa taifa turudi hm tukajipe raa!