Hasara hii ya zao la korosho iliyotokana na Serikali kujiingiza katika biashara ya korosho nani ataibeba?

Hasara hii ya zao la korosho iliyotokana na Serikali kujiingiza katika biashara ya korosho nani ataibeba?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Hii ni sehemu ya uchambuzi wa Bajeti uliofanywa na ACT-Wazalendo
1592145386028.png



1592144809308.png


1592145198928.png
 
Bila kutumia mkono wa chuma ccm hawana chao kusini
Kusini corridor ondoeni waliojiita wawakilishi wenu walitishwa wakaacha kuwatetea msiwape kura Tena na vyama vyao ili haki zenu ziheshimiwe
 
Hata mkaenda kufukua makaburi ya wahenga wa kale, Kusini yooote ni ccm inatosha. Tena hakuna mahali ccm itaokota kura nyingi ka kusini
 
Ngoja kampeni zianze tuone kama kumuita mtu yesu au kuagiza mungu aje amshukuru kama kutasaidia kitu!
Hawa mbatata ccm ndio watajua Wale wanao wapakazia walevi wana uwezo kiasi gani wa akili, hoja na ufahamu
 
Hii ni sehemu ya uchambuzi wa Bajeti uliofanywa na ACT-Wazalendo
View attachment 1478546


View attachment 1478540

View attachment 1478545
Koosho imezaa koona
Labda Yesu wa chato
Aiseee !!!
Kusini corridor ondoeni waliojiita wawakilishi wenu walitishwa wakaacha kuwatetea msiwape kura Tena na vyama vyao ili haki zenu ziheshimiwe
Kama hawajajifunza kupitia korosho basi tuwasamehe
Bila kutumia mkono wa chuma ccm hawana chao kusini
Chotera ha wapi mkuu? Ya Uganda?
si mchezo Yesu wa chatooooo umetishaaaaaaa
Magu inabidi ajengewe mahakama maalumu kwa ajili yake na serikali yake dhalimu.
 
Mimi siangalii hasara, naangalia wakulima walilipwa chao? Kwa sababu kama serikali iliwalipa basi hasara hiyo sawa na hasara ya ruzuku ya pembejeo za kilimo nani huwa analipa kama si serikali. Walanguzi wzlitaka kununua kwa bei chechee, hivi nani angefidia gharama za uzalishaji za wakulima?
 
Back
Top Bottom