Hasara iliyopata mamlaka kwa hofu ya kufikirika..! Faida waliyopata washika dau wa falsafa ya kula kwa urefu wa kamba!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Kama ikitokea mamlaka huru ikapiga hesabu ya pesa, nyenzo na muda vilivyotumika kuzuia maandamano ya maombolezo ya CHADEMA ya leo tar 23.09.2024 basi kuna watu wanaweza kuwajibishwa pakubwa sana..!
Fursa fursana .. Kufa kufaana...! Kwa kauli ile ya kula kwa urefu wa kamba ..maandamano haya yalikuwa ni fursa nyingine ya upigaji

Kama kuna wahusika kwenye haya maandamano muda huu wako sehemu za starehe wanajenga heshima mfano tu wa kimtazamo. Bajeti ya mafuta watu wamepiga,Bajeti ya service za magari watu wamepiga,Bajeti ya sare watu wamepiga

Bajeti ya service ya silaha watu wamepiga,Bajeti ya posho watu wamepigaBajeti ya vitendea kazi watu wamepiga,Bajeti ya mawasiliano watu wamepiga.

Bajeti ya kukamata na kushikilia waandamanaji watu wamepiga,Bajeti ya matangazo mitandaoni na kwenye vyombo vya habari watu wamepiga Nknk. Kuna washika dau wameyashukuru maandamano ya CHADEMA kwakuwa, Madeni yatalipwa wiki hii Kuna uwekezaji utafanyika/ utaendelezwa Kuna site zitafufuka tena
Kuna wauza vifaa vya ujenzi watauza Kuna mafundi watapata Kazi, Kuna karo za shule zitalipwa,Kodi za nyumba hata za vimada zitalipwa

Michango ya harusi na vikoba,Marejesho ya bank na taasisi za fedha,Sadaka nyumba za ibada, Kupendezesha nyumba,Matengenezo ya magari nknk.

Kwa kifupi maandamano yameleta neema kwa washika dau na hasara kwa mamlaka
Kuna mmoja kasikika akisema anatamani CHADEMA watangaze tena maandamano mwezi ujao maana ame clear vimeo vingi sana
Falsafa ya kula kwa urefu wa kamba! Washika dau wameielewa na kuikubali sana!

Wakikujua udhaifu wako.. Watakutumia watakavyo halafu kwa manufaa binafsi...kishapo wakikuchoka.. Watakusaliti.. Kikulacho ki nguoni mwako.. Na mwanadamu kamwe haridhiki.. Hatosheki..!
Mene mene tekeli...๐Ÿฅบ๐Ÿค”๐Ÿ™‡๐Ÿฟโ€โ™‚

Soma Pia:

 
Pesa nyingi sana imeteketea, Kwa kutaka kuzima maandamano, ambayo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
CCM no chama cha watu wasio na akili na Polisi ni kama mazombie tu, KAZI yao ni kutumwa kuuwa, kuteka, kutesa kupotezwa, jalafi wanakuja kujisifu bar, Ile operation nimepewa posho ya million 1.8
 
Pesa nyingi sana imeteketea, Kwa kutaka kuzima maandamano, ambayo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maybe we better talk about position and not about gender..! Taking about gender can vulnarise many things
Belief
Origination
Capabilities etc
 
Siandiki chochote naogopa kutekwa ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Pesa nyingi sana imeteketea, Kwa kutaka kuzima maandamano, ambayo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maybe we better talk about position and not about gender..! Taking about gender can vulnarise many things
Belief
Origination
Capabilities etc
Kuna mtu alikomenti kuwa ni 3B, mwingine alisema 11B mwingine alisema 27B mwingine alisema 38B mwingine alisema 77B
Kati yao wote hao kuna mmoja ni mkweli .. Lakini cha kushangaza zaidi hakuna aliyesema chini ya B๐Ÿฅบ
 
Pesa nyingi sana imeteketea, Kwa kutaka kuzima maandamano, ambayo ni halali Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Maybe we better talk about position and not about gender..! Taking about gender can vulnarise many things
Belief
Origination
Capabilities etc
Kuna mtu alikomenti kuwa ni 3B, mwingine alisema 11B mwingine alisema 27B mwingine alisema 38B mwingine alisema 77B
Kati yao wote hao kuna mmoja ni mkweli .. Lakini cha kushangaza zaidi hakuna aliyesema chini ya B
Siandiki chochote naogopa kutekwa ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Watakuachia tuu
 
Maybe we better talk about position and not about gender..! Taking about gender can vulnarise many things
Belief
Origination
Capabilities etc

Kati yao wote hao kuna mmoja ni mkweli .. Lakini cha kushangaza zaidi hakuna aliyesema chini ya B๐Ÿฅบ
Pesa ipo ili itumike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ