No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,785
Kila kitu hapa duniani kina faida na hasara yake hapa Duniani. Pamoja na madhara makubwa ya hili janga lakini pia kuna faida pia kuanzia ngazi ya Dunia nzima mpaka familia;
1. Binadamu sasa Tunamjua Mungu
2. At least Nidhamu inarudi na usawa,wote tunaongea lugha moja kwa sasa anaejaribu kujiona yeye ni Top! Inamtokea puani, Mf. Bill Gates.
3. Starehe zimepungua. Yaani kama shetani ana kipindi kigumu basi ni sasa.
4. Familia sasa zimekuwa na ubunifu wa Hali ya juu. Mfano: Nyumbani kwangu nimegundua kumbe wife ni kinyozi mzuri kuliko hata ile saloon ya 10,000 na dada wa kazi Anajua kusuka mno. Yaani we acha tu!
Je, wewe?
1. Binadamu sasa Tunamjua Mungu
2. At least Nidhamu inarudi na usawa,wote tunaongea lugha moja kwa sasa anaejaribu kujiona yeye ni Top! Inamtokea puani, Mf. Bill Gates.
3. Starehe zimepungua. Yaani kama shetani ana kipindi kigumu basi ni sasa.
4. Familia sasa zimekuwa na ubunifu wa Hali ya juu. Mfano: Nyumbani kwangu nimegundua kumbe wife ni kinyozi mzuri kuliko hata ile saloon ya 10,000 na dada wa kazi Anajua kusuka mno. Yaani we acha tu!
Je, wewe?