Hasheem aambiwa stop taking pictures on the damn beach and get in a gym

unajua swaga zako dezaini flani kama za mkali mwenyewe the phd ndo maana najikuta nimekuita ivo mkuu,ila co ishu,huyo hasheem tumvungie as bado anasumbuliwa na ushamba

hahahahah!mzuka mwingi bab!nakukubali unavyomkubali mkali wa wakali!
 
Wabongo mna midomo sana, so hate,umasikini unatusumbua.. imagine mtu yupo Vacation/leave its about rest n spending sijui mnataka afanyaje..dude is doin well with Blazers nowdays...midomo waachieni wanawake fanyeni maisha na career zenu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nizar Halfan alikuwa anacheza ligi ya kulipwa Marekani lakini sasa hivi amesajiliwa na Yanga, Mrisho Ngasa pia ilibidi awe anacheza hiyo ligi ya Marekani ila mpaka leo anaangaika na viwanja vya Chamanzi, na badly ile nafasi yake kule USA ameichukuwa mkongo, na hata huyu Hasheem naye si muda mrefu mtasikia anachezea Pazi au Vijana. its matter of time.
 
huyu jamaa vipi si alishampeleka jokate kwake usa...kwani walikwisha bwagana?
 
Ivi huyu jamaa anajichubua......mbona vidole vya miguuni vyeusi........
 

baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaassi
 

hahaaaaaa PHD teh teh teh teh karibu JF
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…