King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Unamkandia au unamsifia?tolu jitu la kuharibu utaratibu sehemu za bata!...yaani likitimba batani lazima utaratibu uvurugike!sura sasa hivi hazinunuliki mpaka tolu lisepe mjini!...utaratibu anaanza kuuharibu katika parking na gari lake siyo usafiri!manake kuna gari na usafiri!tolu anasukuma gari!
Mchaka Mchakani[/QUOTE said:Muuza Sura[/QUOTE said:Mchaka Mchakani[/QUOTE said:Shame on you Mods where are you from 28/May up to this time..
arifu umeongea kitu cha kweli aiseee......ndio maana wakina ibaka wanaendelea kushine daima huyu tuko nae jolies na nyumbani longe akigombania wachafu kuoga kama wakina jokate.....
wewe dogo mioshi ya bangi ya kinondoni imekuharibu.....walikuwepo wakali wanaojua zaidi ya HT an mahela kibao kudadadadadadadadeki sasa hivi ni homeless......endelea kumshauri asifanye mazoezi awe mzivu utaniambia mkataba wake ukiisha.......
St. Paka MweusiShame on you Mods where are you from 28/May up to this time..
Dah!! Limbukeni huyu jamaa, anamuonea bure mlalahoi wa watu, I hope sheria itachukua mkondo wake,
Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD