Hasheem Thabeet agonga bajaj, amshushia kibano kitakatifu dereva


Mshaurin tolu awekeze anunue estate mikocheni au bagamoyo ajenge apartments kama za Darvilla.
 
Mkali wa Basketball Hasheem Thabeet kwenye interview na Millard Ayo wa AMPLIFAYA Clouds FM.

.

 
Nilikuwa nasikiliza interview ya kina P Square. Wanasema wao wanaofisi nyumbani kwao hivyo ni ngumu sana kwa Wanaijeria kuwaona mitaani. Wanasema kama ma super star hawapaswi kuonekana hovyo hovyo kwani kuna walio tayari kulipia attendance yao kwenye events.

Nikavuta taswira kwa masupastaa wa Bongo; mtu anatembelea viwanja mpaka vitatu kwa usiku mmoja. Mpaka anazoeleeeekaaa.

Afu mnatulalamikia kuwa nabii hakubaliwi kwao na kuwa hatushoboki na nyie wasanii wetu; sabab ni kuwa mmezidi kuzurura na kujichanganya. Lol.


 
Hasheem cmuombei vibaya hla muda wake kucheza NBA una hesabika coz mpaka sasa hv ameshahama timu hazipungui mbili halafu zote anatolewa kwa mkopo na namba hapati,tena km sasa hv ligi inaendelea yy yupo dsm,muda huu anaokaa bench mtu mwenye akili angekua bussy na mazoezi hili kupandisha kiwango yy anakuja kutanua bongo.
 
Kama kweli Hasheem kampiga jamaa wa Bajaji basi kafanya vibaya...Hasheem anaendesha gari gani?
 
Dah!! Limbukeni huyu jamaa, anamuonea bure mlalahoi wa watu, I hope sheria itachukua mkondo wake,


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD

Mlemeta na wewe upo huku? hahahahahaha Umetishaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…