we blueray unamanisha nn kusema hashim aliongea pumba majuzi kati???sikiliza kaka binadamu hatuko perfect ...
Well said......but siku hizi bongo ukimpa mtu ushauri mzuri anakuita HATER.....na ndio kitu kinachotulostisha wabongo hatukubali kukosolewa.....Jojig,
Kwa Marekani huwezi kujitetea kwa kusema "binadamu hatuko perfect"! Ukifanya au kusema kitu kidogo kimoja kinaweza kukuganda kama kupe maishani. Kama Hashimu anachemka chemka anaambiwa tu, excuses za hatuko perfect tuzibakize kwetu Bongo.
Blueray,
Umeongelea swala la "handlers," ni bahati mbaya entourage ya huyu kijana ni ya watu wazima-watoto wenzake wanaovaa suruali vibwebwe matakoni. Sad indeed. Hazungukwi na mature figures wanaoweza kumwambia Mkuu, hapo unachemka. Kila anaemzunguka ni mpambe, kumwagia misifa, kama huyo mchangiaji hapo juu, kazi yao ni kubembeleza tiketi za pati zake za draft. Mtu anaomba kualikwa kwenye party!
Wengine wanadai eti bado ni mtoto, the guy is in his early twenties, kwa Marekani huyu ni mtu mzima sana, anatakiwa ku act kama mtu mzima. Lakini bado hajakuwa, prospective NBA professional ana twitter kuhusu mizaha ya illegal drugs. Anahitaji kukua.
Wapambe wa Hasheem nipigieni debe basi niwe nabeba taulo zake jamani.
Hahahahah umenichekesha lol!
Urefu umembeba sana sana.....maana kama talent ya kikapu hakuna.....wameshindwa kina dula.......Dogo ana zali.....
He is shooting himself in the foot by being overly pessimistic. Wamarekani wanataka fighter, kwa hiyo mtu anatakiwa kuproject a positive outlook, halafu kama kuna haja ya ku potray picture kwamba uko humbled na una adjust unafanya hivyo. Hata ukishindwa watu watakutetea na kusema dogo alifight.
Sio unaanza na kusema mimi siwezi, ukishindwa kweli watu watasema kaingia NBA kwa fluke tu na urefu, maana hata yeye mwenyewe alisema hawezi.
Dogo inabidi apate mtu wa kumcoach ki saikolojia na nini cha kusema, wenzake wana advantage ya kukulia Marekani ambako society yao inawaandaa kuwa good communicators mapema, kule kwetu hatuna mkazo wa mambo haya.
Sasa hivi yupo katika honeymoon period bado, kwa hiyo akienda twitter na ku prank kwamba kafeli drug test atachekewa, media ina m build up bado, hawawezi kumuandama.Akifika juu huko atajua maana ya "they build them up to tear them down" ni nini, ingefaa sana asiwape ammunition na hii openness yetu ya kibongo, hawa reporters si watu wa kuwaamini kiasi hich😵ne has to only look at Michael Jackson and Martin Bashir.
Patience Required with Thabeet
Memphis Grizzlies rookie center Hasheem Thabeet has been a punch-line on media row this week in Las Vegas. In short, he hasn't looked like a player worthy of being a high second round pick let alone the #2 overall pick in the draft.
In Saturday's game Thabeet actually missed four dunks. To say he looks raw on the offensive end would be an understatement.
"Sometimes I'm rushing the shots," said Thabeet. "I ended up missing a couple of dunks (Saturday). To me this is a process of growing up as a player and as a person. I want to be a better player, and I'm going to keep working hard."
When asked what has been the biggest adjustment for him thus far, Thabeet replied: "The game pace. The guys are so big and fast and as strong as you. When you go out there you've got to be ready."
Spending some time with Thabeet this week I really like the kid on a personal level and believe he means well. However, fans in Memphis are going to have to be patient because he's not NBA ready yet.
"I've only played basketball now for a short time, just a couple of years," Thabeet explained. "To me, I'm progressing pretty well. I definitely know I am going to work harder than the other guys because they've been playing basketball their whole life and I've been playing basketball only for a short time. In order to win the battle I'm going to have to work harder than them."
Thabeet has been heckled by fans and ripped by some in the media this week largely because he hasn't lived up to the billing as a #2 overall pick. When asked if that has him feeling additional pressure, Thabeet responded: "I wouldn't say that it puts that much (pressure on me). When you go out there you're not a number. In the draft they are looking at a lot of stuff. They are not looking at the first year to take your team to the playoffs. They are looking forward for the future, what you're going to be doing the next couple of years. I want people to say I really came a long way because if you look at seven years ago I never thought I would be in Vegas one day playing summer league."
Like it or not, Thabeet is a project. There's certainly no way I'm ready to proclaim he's a bust, though, and anyone willing to do so this early in the game is not someone I would take seriously.
All that said, fans in Memphis need to be realistic with this kid next season. Reasonable expectations will lead to far less disappointment and more patience with the process.
Baadae akaenda kwenye ESPY Awards ameondoa ki mohawk, lakini ndo amekuwa kama MADENGE tena."Today, after I got my ankle taped, the barber was there and I was like 'Can I get a cut too?' and I just wanted a little trim and I got up, went to look at myself in the mirror and I had this," he said. "I didn't have time to go get it fixed. So I had to come [play], so I guess it's a rookie thing. I am OK. I will go get it fixed."
Anachezea timu gdni pale NBA uyu kijana mana hasikiki kbs kama alipokua chuo...
Kwa yeyote anaejua anijuze nipate kuelewa mie
Yuko OKC