Hasheem Thabeet yupo zake Dar anacheza ligi ya mkoa

Aisee...ligi ya kikapu Bongo.
 
Hivi huyu jamaa alikumbuka kununua government bonds kweli? Maana kwa hela aliokuwa analipwa ni wazi angeweza nunua bonds hata za 5B maisha yangekuwa mazuri hadi hii leo. Na hata hicho kikapu angekuwa anacheza for fun tu.
Kweli
 
Hivi huyu jamaa alikumbuka kununua government bonds kweli? Maana kwa hela aliokuwa analipwa ni wazi angeweza nunua bonds hata za 5B maisha yangekuwa mazuri hadi hii leo. Na hata hicho kikapu angekuwa anacheza for fun tu.
Shida Elimu ya bonds and securities (uwekezaji wa aina hii) kwa wengi wetu haipo. Na wanaotakiwa kuwa approach watu wenye kuweza kuwekeza hizo Govt Bond wapo maofisini wanasubiri wateja wawafate by chance!
 
Mwamba yupo likizo, timu anayochezea kwa Sasa ni Hsinchu pioneers ya Taiwan .. ni kama samatta anavyorudi kucheza samakiba kipindi cha likizo ..
Ila samata kufanya mazoezi na MAMBUMBUMBU ndio maana anayumba tu sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…