Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Kama mtu anajua basi anajua tu huwezi kujifanyaTatizo la nash ni kujifanya kila kitu anakijua
nash ni msanii ambaye hataki ushauri
Kabla ya kikosi cha mzinga block 41 kulikuwa na maskani inaitwa Indiana polis nahsi hata kama ulimfatilia sugu aliwarusha sana
Unajua hashim aliwahi kulalamika kuwa solo anaiga style na flow yke...Huwa napenda ile mikasa alivyokuwa anaisimulia
Hashim level nyingineAisee...!
Kwamba kichwa kama Ngwair nacho hakiingii?
Huyu alitakiwa atengenezewe beat na dj premier atambaeee naloooOkay.
Nikipata muda nitatafuta kazi zake.
Ila naona kama yuko so overrated
ila block 41 kumepoa siku hiziKabla ya kikosi cha mzinga block 41 kulikuwa na maskani inaitwa Indiana polis nahsi hata kama ulimfatilia sugu aliwarusha sana
Indiana polis ilijaa mabaharia wkt huo Pina dogo tu.....
Pina kabla ya Kuingia kwenye mzk alikuwa mbeba vyuma tu
Hashim nshakutana naye San tu block 41 maana block ni kama kwangu tu wna wengi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah.....walikua wanafanana sana flow na swagga.Unajua hashim aliwahi kulalamika kuwa solo anaiga style na flow yke...
Mpk kisa kile kilitokea
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Shadow of a dark destinyTafuta track ya tunasonga, na Kuna truck moja inaitwa shadow - - - ( Jina limentokaaa
Ana ngoma kali ni mwana hiphop mkali ambaye hajawahi tokea tz Yaani ni mkali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Imam Abbas jamaa alikuwa anajua sana,Mitaa ya Kati ukiisikiliza hadi leo, unaweza sema ni wimbo uliotoka jana kumbe ni wa muda mrefu sana, jamaa aliandika sana paleHashim dogo ni moja kati ya ma mc ambaye alikua na uwezo mkubwa wa kupanga vina. ... Akifuatiwa kwa mbali...na Imamu Abbas....fanani wa ukweli ...japo Hawa wote hawakupata bahati ya kukuza carrier zao kutokana na changamoto tofaut tofaut za kimaisha .. but to be frank walikua na uwezo mkubwa Sana ...wanastahili heshima kubwa Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kikosi cha mzinga block 41 kulikuwa na maskani inaitwa Indiana polis nahsi hata kama ulimfatilia sugu aliwarusha sana
Indiana polis ilijaa mabaharia wkt huo Pina dogo tu.....
Pina kabla ya Kuingia kwenye mzk alikuwa mbeba vyuma tu
Hashim nshakutana naye San tu block 41 maana block ni kama kwangu tu wna wengi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Amani aka Beckham [emoji23][emoji23][emoji23]Aisee kuna mwana wa kuitwa Meneja Zonte hivi yupo aisee.
Mmenikumbusha wana wa Block aisee hebu niambie Beckham, Msemakweli, Kamanda Gwalu, Suma Lago wapo hawa jamaa...?