Hashim Dogo akutana na Nash Mc

Namkumbuka na jamaa mmoja alikuwa akiitea KIBACHA au KBC nae mwisho alifanya shooting ambayo kwa wakati ule ilikuwa kali sana,na alikuwa mkali pia,sijui yupo wapi.
 
hashimu bado anaandika sema amekuwa copy writer badhi ya matangazo kwenye tv na kwenye radio ni kazi yake huwa anafanya kazi na agency za matangazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…